Hatimaye local channels zarudi king'amuzi cha DSTV

Hatimaye local channels zarudi king'amuzi cha DSTV

Sheria iliyotumika kuondoa hizo chanel ilikua ni sheria yakirasimu.Tanzania tuna ujinga wetu wenyewe ambao ukiufwatilia sana utaona jinsi ambavyo unatufanya tuwe nyuma kwenye mambo mengi.Nchi zote zinazotuzunguka chanel zao za ndani unazipata dstv ila hapa bongolala tukaziondoa kwasababu ambazo hazieleweki.Tunaacha kutanua wigo wa mambo yetu kufika mbali duniani ili kukuza ushindani tunabaki kuweka vikwazo visivyo na faida.Nampa hongera huyo aliyeona kuna haja yakuzirudisha.Maana bila ushindani na kujitangaza duniani kamwe hatuwezi kufika mbali.Tutabaki kua taifa lakinyonge lisilo na mbele wala nyuma.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom