Hatimaye local channels zarudi king'amuzi cha DSTV

Hatimaye local channels zarudi king'amuzi cha DSTV

Mwanzo tulisema hapa si waziri wala wananchi wanaoelewe hili jambo!
Swala hapa ni television husika yani FTA kuwa bure haijalishi una kifurushi au huna kifurushi ,kimekwisha au hakijakwisha!

Sasa kurudi lakini kifurushi kikiisha zinakata hii bado haina maana ya hoja na kusudi la waziri na wananchi kama waziri alielewe kile kilichokuwa kilio cha wananchi!

DSTV walikuwa nazo hizo channel na waliziondoa baada ya serikali kuwalazimisha kuwa channel ten,Clouds Tv,ITV,EATV na TBC 1 zioneshwe bure yani hata kama kifurushi kikikata basi hizo zibaki zinaonekana ndio maana wakaziondoa!

DSTV wamezitaka hizo kibiashara maana wateja wao nikiwemo mimi nilikuwa naziangalia japo kwa kulipia lakini serikali walitaka ziwe bure kabisa na wao DSTV wanazifanyia biashara na kwa hiyo hapa tukubali DSTV wameshinda na channel zitarudi lakini watazionesha kwa kulipia kupitia kifurushi lakini sio bure...

Hapa bado Nape hajafanikisha alicho kitaka na kupitia channel hizi DSTV atajizolea wateja wengi sana na bahati mbaya washindani wake walilalamika kuwa wao wamewekeza sana hivyo DSTV hana haki ya kuonesha FTA...hapo sasa


Ukweli ni kwamba DSTV hawatokubali kuonesha bure channel husika!
Na zaidi dstv wameshinda hiyo game kwa kuwa waziri ameruhusu channel za kulipia ziwe na matangazo ya biashara, yaani unaangalia bongo magic unakutana na matangazo ya tiGO na voda kama yanayoonekana ITV. Sasa king'amuzi complete cha dstv ni elfu 79 mpaka ufundi, cha azam laki 2 bila ufundi, cha star times elfu 75 bila ufundi..ubora wa picha upo dstv, channel za bure zilizopo azam na dstv zipo..mtu atanunua kipi? DsTV

Hapo alizidiwa ujanja na azam kuhusu ligi kuu ya bongo kupitia mkataba wa miaka 10. Angeipata na hiyo, hao wengine wangepoteana mazima
 
Na zaidi dstv wameshinda hiyo game kwa kuwa waziri ameruhusu channel za kulipia ziwe na matangazo ya biashara, yaani unaangalia bongo magic unakutana na matangazo ya tiGO na voda kama yanayoonekana ITV. Sasa king'amuzi complete cha dstv ni elfu 79 mpaka ufundi, cha azam laki 2 bila ufundi, cha star times elfu 75 bila ufundi..ubora wa picha upo dstv, channel za bure zilizopo azam na dstv zipo..mtu atanunua kipi? DsTV

Hapo alizidiwa ujanja na azam kuhusu ligi kuu ya bongo kupitia mkataba wa miaka 10. Angeipata na hiyo, hao wengine wangepoteana mazima

DSTV kwa sasa ni 59,000
 
Nat geo ni ndo chano yangu pendwa hizo hata wasipo weka tu
 
Warudishe ITV haraka sana tena pale pale ilipokuwa kwenye around namba 290+ siyo huko kwenye 380+. Infact ikirudi ITV ya tosha hata hizo nyingine zisiporudi poa tu
ITV sidhani...
 
Mm kimsingi sitajali sana kama wataonyesha bure au lah, ila kama zitaonekana tu ntashukuru sana especially ITV. By the way unaishindwaje kulipa kifurushi kabisa hata cha elfu 9 kwa mwezi
Sio Elfu tisa jamani. Ni elfu kumi ile.

You guys keep sayin kifurushi cha elfu 9..aah.
 
Hamna Bure adi ulipie ,hapa ni kuzungushana kama watoto wa day care.
 
Mkuu subiri ziko njiani. Inaonekana kwako ni mbali sana kutoka zinaporudishwa.
 
Sheria iliyotumika kuondoa hizo chanel ilikua ni sheria yakirasimu.Tanzania tuna ujinga wetu wenyewe ambao ukiufwatilia sana utaona jinsi ambavyo unatufanya tuwe nyuma kwenye mambo mengi.Nchi zote zinazotuzunguka chanel zao za ndani unazipata dstv ila hapa bongolala tukaziondoa kwasababu ambazo hazieleweki.Tunaacha kutanua wigo wa mambo yetu kufika mbali duniani ili kukuza ushindani tunabaki kuweka vikwazo visivyo na faida.Nampa hongera huyo aliyeona kuna haja yakuzirudisha.Maana bila ushindani na kujitangaza duniani kamwe hatuwezi kufika mbali.Tutabaki kua taifa lakinyonge lisilo na mbele wala nyuma.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ukiona ivyo Mkuu ujwe ivyo vikwazo kuna watu wanafaida navyo
 
Sheria iliyotumika kuondoa hizo chanel ilikua ni sheria yakirasimu.Tanzania tuna ujinga wetu wenyewe ambao ukiufwatilia sana utaona jinsi ambavyo unatufanya tuwe nyuma kwenye mambo mengi.Nchi zote zinazotuzunguka chanel zao za ndani unazipata dstv ila hapa bongolala tukaziondoa kwasababu ambazo hazieleweki.Tunaacha kutanua wigo wa mambo yetu kufika mbali duniani ili kukuza ushindani tunabaki kuweka vikwazo visivyo na faida.Nampa hongera huyo aliyeona kuna haja yakuzirudisha.Maana bila ushindani na kujitangaza duniani kamwe hatuwezi kufika mbali.Tutabaki kua taifa lakinyonge lisilo na mbele wala nyuma.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Lengo ilikua mtizame mapambio ya TBC mwanzo mwisho
 
Back
Top Bottom