Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 372
Who knows....?!!! hahahaaa siri ya ndani hiyo....siku hizi hao vijana wenyewe wanakeshea supu ya pweza na juisi ya tende.....
Chezea chips zege wewe, plus broilers...
Who knows....?!!! hahahaaa siri ya ndani hiyo....siku hizi hao vijana wenyewe wanakeshea supu ya pweza na juisi ya tende.....
wasisahau kupa kadi proff muhongo
Hapo chacha...unakoleza ndimu pilipili...makorokocho yote....ss vijana stress..zee km hili ukilipa vitu adimu akapiga kabao kamoja si anakuona eehhh
kuzini maana yake.....wanandoa kwenda nje ya ndoa....na kama haujaolewa....wew ambae haujaolewa ukashiriki tendo la ndoa na aliyeoa umezini nae........
Ngoja aje kijana wa kiume humu na picha atupiemo akiwa amejibebea jimama la haja utasikia mawe yatakayorushwa dadadeki
Kwa wanawake ni halali na watu wanasherehekea kabisaaaa
Diamond na zari wamepishana miaka mingapi? Na klyin na mengi wamepishanaje
kwikwi sio wazee wote wanatumia Viagra kama ilivyo siyo vijana wote hawatumii Viagra! Mkuu mpe Hongera mzee Mengi kwa kubeba kifaa!
Hapo chacha...unakoleza ndimu pilipili...makorokocho yote....ss vijana stress..zee km hili ukilipa vitu adimu akapiga kabao kamoja si anakuona eehhh
Haaaaaaaa bado...., siku hizi mambo ya shake well before use
Pia unaweza shake well weee ikatoka mapovu tuu.Haaaaaaaa bado...., siku hizi mambo ya shake well before use
kwa couples za bongo fleva na bongo movie zilizotulia na kudumu ni za ky-lin &mengi,malaw na besta