Hatimaye Isidingo imefika tamati baada ya miaka 21

Hatimaye Isidingo imefika tamati baada ya miaka 21

Saizi kila kitu tunaanza kukihusianisha na Corona.
 
sio kweli kwamba ina ratings chache. Isidingo ndo inaongoza kuwa followers wengi kwenye social media.. Kuliko wengine apo sauzi..

Halafu hao sabc wamesitisha tu wao wenyewe hicho ni kisingizio tu. Maana muda wa kuoneaha isidingo ukifika walikuwa wanaweka cricket.. so nadhani isidingo management na sabc wana mgogoro..

Pia isidingo wanaweza wakahamia TV nyingine Kama TV e, mzansi magic na kadhalika so utaskia tu baada ya muda flani wamehamia sehem flan.. Sabc haina tofauti na tbc
 
Hao sabc hawana tofauti na tbc.
Wao walikuwa na mgigoro na isidingo kwa muda mrefu.. Ilikuwa ikifika mida ya isidingo Mara nyingi wanaweka cricket za wazungu..
Ndo wamepata kisingizio eti watazamaji wamepungua.. Miaka yote 21?

Isidingo nadhani imesitishwa kwa muda tu wanaweza hamia TV nyingine Kama tve mzansi magic.. Na kadhalika mambo yakaendelea.. Waachane na hao tbc ya sauzi
 
Nilianza enzi za akina l Zebedee Matabane na mke wake Agnes na watoto akina Letti na Parsons; Calvin Xavier; Barker Haines; Georgie Zamdela; Rajesh Kumar
Nilianza kuangali enzi za akina Zeb,nandipha, George zamdela,mike,pasons, kitambo sana mwishoni mwa 90's

Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi hizo ikifika mida ya saa 1 jioni unaanza kujivuta kwenda home bila kushurutishwa, enzi zile kila kitu kizuri kilikuwa cha wote yaani kama tulikuwa programmed hivi ukienda mtaani story ni hizo hizo. Sasa hivi series zipo nyingi kiasi kwamba mnaweza mkakutana watu 10 kila mtu ana series yake anayoifuatilia
 
Sikuwahi hata kuielewa nikafutilia mbali
 
  • Thanks
Reactions: amu
Yule jamaa alikua wa aina yake, tajiri, mafia, ana huruma, ana utu, katili, anajua mapenzi lakini ilikua inategemea unamkuta kwenye mazingira gani. Alichomfanyia Ambassador ndio nikaona jamaa ni habari nyingine.

Ubabe wake ulikua unachagizwa na Roman...

Hivi yule mwanamke aliyemtwanga risasi Lincoln ni nani?
Pale kuna assumption mbili, either ni Charly bint wa Eddie Hormes amekuja kulipiza au ni mke wa Mayekiso. Afu naona kama mwamba Sibeko alifungua macho pale mwisho, maana yake kama watapata station nyingine wanaweza kuwa na muendelezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale kuna assumption mbili, either ni Charly bint wa Eddie Hormes amekuja kulipiza au ni mke wa Mayekiso. Afu naona kama mwamba Sibeko alifungua macho pale mwisho, maana yake kama watapata station nyingine wanaweza kuwa na muendelezo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Muendelezo uwepo aisee.... Na kama ni yule binti wa Eddie Holmes hiko kisa kitakua kitamu zaidi ya Mrs Mayekiso
 
Nadhani management wakipata tv station nyingine wanaweza hama, za chini chini zinasema kulikua na mgogoro kati ya SABC na hao Isidingo.

Sent using Jamii Forums mobile app


SABC wamezingua kweli hats ukiangalia YouTube tu ni Isidingo pekee iliyokua na viewers wengi kulinganisha na Generation au Rhythm City.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Pale kuna assumption mbili, either ni Charly bint wa Eddie Hormes amekuja kulipiza au ni mke wa Mayekiso. Afu naona kama mwamba Sibeko alifungua macho pale mwisho, maana yake kama watapata station nyingine wanaweza kuwa na muendelezo.

Sent using Jamii Forums mobile app


Vilevile kama Sibeko alifumbua macho, inamaana hajafa. Muendelezo ukiwepo itakua tamu sana.
 
Back
Top Bottom