dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Yeah! Mda mrefu alikua ina bamba sana, sema nilikua namkubali jamaadah mbali sana derek nyati na yule mke wake mzungu walikua wanaigiza wote alafu baadaye sijui wakapotelea wapi
Yeah! Mda mrefu alikua ina bamba sana, sema nilikua namkubali jamaadah mbali sana derek nyati na yule mke wake mzungu walikua wanaigiza wote alafu baadaye sijui wakapotelea wapi
Hujui hata kinachoongelewa bora ungekaa kimya tu.
Hata sijui ni nani? Au ni Mrs MayekisoKabisa. It was the best. Ila sijapenda ambavyo hawajaonyesha nani kumuua Lincoln
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe funny
Nikajua ni Nyati wa porini hehehe😂Mr. Nyati brother mmoja hivi alikua smart ana rasta alikua anavaa miwani
Kwahiyo wameishiwa story au budget finyu?
Sijawahi kupoteza mda kuliangaliaSijawahi kuielewa nashangaa unavyosema ilikuwa bora na imeisha nabaki kusema hiiiiiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Sibeko ndio mbabe aliebaki mpaka mwisho na alimudu nafasi yake.
Daah! Rasta ndio zilikua safi kwakeHlomla Dandala