Hatimaye Isidingo imefika tamati baada ya miaka 21

Hatimaye Isidingo imefika tamati baada ya miaka 21

Dah.

Tumeangalia Isidingo ITV miaka ya tisini, nafikiri ilikuwa 1998 hivi.

Sent from my typewriter using Tapatalk

Uko sahihi, ilichukua nafasi ya Egoli kama sikosei.

Nimeangalia Episode ya mwisho jana imeisha kwa utata sana. Sikuwahi kufikiria ingeendelea kuwa na mvuto baada ya Barker Haines kufariki kwenye Isidingo lakini Sibeko (Lincoln) aliendelea kusisimua na kuitendea haki nafasi yake kiuigizaji.
 
SABC 3 leo ndiyo wameirusha ya mwisho.Siyo mbaya ilitupa furaha kipindi chote cha miaka 21 wengine tumeanza kuiona 2003 enzi za kina Matabane family,maggie,papa g,cherel,parsons,letti,vusi,len cooper,frank,barker,sibekos,sechaba,sibiya.
Safi sana hii soapie.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sechaba best overall actor wa series hii kwa upande wangu. Toka kua miner mpaka kumiliki hotel na Mayor wa HD
 
Uko sahihi, ilichukua nafasi ya Egoli kama sikosei.

Nimeangalia Episode ya mwisho jana imeisha kwa utata sana. Sikuwahi kufikiria ingeendelea kuwa na mvuto baada ya Barker Haines kufariki kwenye Isidingo lakini Sibeko (Lincoln) aliendelea kusisimua na kuitendea haki nafasi yake kiuigizaji.
Sibeko ndio mbabe aliebaki mpaka mwisho na alimudu nafasi yake.
 
Kwahiyo tangu mwa 2013 ulipo anza kuangali jee umeme haujawahipo kuzimwa au ikatokea siku ukaambiwa Leo hatuwezi kuonyesha ta mthilia kwasababu matatizo ya kiufundi yapo njee ya uwezo wetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakat naangalia ITV ndio ilikua hivyo ila kwa YouTube kila siku unakuta episode mpya
 
Sijawahi kuielewa nashangaa unavyosema ilikuwa bora na imeisha nabaki kusema hiiiiiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
Isidingo haikua na story za Telemundo kua lazima Julian na Maria lazima waishie pamoja. Ilikua na series ya maisha ya kila siku ya wananchi wa HD. Kila baada ya episodes kadhàa kulikua na storyline mpya. Ambapo ukiingia popote ungeelewa
 
Duuh imeisha, kama wewe ulikuwa mdogo na umeanza 2013 wengine tumeanza nayo hiyo miaka mpaka tukaisahau aisee, characters wote wa mwanzo nadhani ni wababa watu wazima na wote story zikaisha wakamalizia wengine, yaani huo ndio utunzi na watu wamefanya investment hasa
Kipindi inaanza nilikua dogo kabisa mara uangalie mara uache. Toka 2013 ndio nikawa mwanafamilia wa Isidingo rasmi.... Watu wanajua kazi zao aisee na waliwekeza
 
Uko sahihi, ilichukua nafasi ya Egoli kama sikosei.

Nimeangalia Episode ya mwisho jana imeisha kwa utata sana. Sikuwahi kufikiria ingeendelea kuwa na mvuto baada ya Barker Haines kufariki kwenye Isidingo lakini Sibeko (Lincoln) aliendelea kusisimua na kuitendea haki nafasi yake kiuigizaji.
Ila ulivyotaja Egoli umenikumbusha kitambo... Nilikua nishasahau hilo jina
 
Back
Top Bottom