BLACK MARXIST
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 2,440
- 5,293
Ndio maana wametuweka kwenye suspense namna hiyo, maana yake kama ikiendelea sehemu nyingine, mambo yatakuwa matamu.Vilevile kama Sibeko alifumbua macho, inamaana hajafa. Muendelezo ukiwepo itakua tamu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app