Mpatuka
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 1,722
- 2,518
Mm naomba ni tofautiane na wewe kidogo. Harmo na Kajala walikuwa deep in love, umejiuliza inawezekanaje leo hii Kajala awe msaliti tu bila sababu. Harmo alianza haya mambo ya magazine mwenzie alipokutwa na matatizo pamoja na kupigia simu viongozi, akishinikiza hukumu dhidi ya rayvan.ngoja tuone mwisho wake, ila kwa yeyote anayetumia akili hili zengwe limeundwa/engineered by WASAFI..itakua kama East and West groups wanavyochukiana mpaka kuuana.....upuuzi mtupu mnaoufanya wasafi clasic baby.....
Rayvany siyo malaika mpaka leo hii ashindwe kulipa pale alipoona fursa ya kufanya hivyo ipo. Lakujifunza tujifunze kukaa kimya tusipende kushadadia ya watu ilihali hatujui na sisi kesho tutaangukia wapi.