Robert S Gulenga
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 2,151
- 1,489
Hakuna ubishi Msanii Harmonize au kama anavyojiita Konde boy ni msanii mkubwa si kwa Tanzania tu pamoja na mataifa yote ya Afrika. Ukichukua wasanii 3 Wakubwa na bora Tanzania basi bila shaka Harmonize atakwepo, ukichukua Wasanii 20 Wakubwa na bora Afrika Konde boy atakwepo.
Harmonize ni msanii mwenye kipaji kikubwa saaana, ni msanii anayejituma pia. Harmonize anafanya harakati zake za music kupitia Kampuni/lebo yake ya Konde Gang.
Kwa msanii kipaji na kujituma ni kitu kimoja, lakini kwa Msanii anayetaka kufika level za dunia MANAGEMENT ni kila kitu, a strong management ndio inayomfanya msanii afike mbali, abaki kwenye tasnia kwa muda mrefu, apate endorsement kubwa, aweze kushirikiana na wasanii wakubwa Duniani e.t.c
Dada yetu Kajala Masanja, Ni msanii mkongwe kwenye kiwanda cha maigizo( bongo movie), je ana uwezo, connection, ujanja, ubunifu, elimu (japo sio lazima ila ni muhimu), nia, exposure e.t.c ya kuhakikisha kipaji cha Harmonize kinaendelezwa na kufika mbali zaidi ya hapa?
Natambua pale Konde gang kuna Jembe ni Jembe, Jembe ni mtu makini, mwelewa , sina shaka na connection zake, exposure kubwa, Msomi, anajua figisu za kiwanda cha muziki lakini kinachonipa shaka kuna Manager mwingine ambaye pia ni mchumba wa msanii na anaweza kuwa na nguvu za kusikilizwa na maamuzi kuliko Jembe.
Watanzania wote wamekuwa wakimtazama Harmonize kwa kumlinganisha na Diamond. Lebo ya Diamond inaweza kuwa lebo yenye mafanikio makubwa si Tanzanai tu bali Afrika nzima. Kwa mtazamo huu si vibaya Konde gang wakaiga namna campuni zinavyoendeshwa, Diamond linapokuja suala la campuni na wanamusic wake Wachumba zake wote aliyowahi kuwa nao hakuna aliyewahi kupewa nafasi ya Manager licha ya wengine kuwa na exposure na sifa za kuweza kuwa Manager.
No hate, ni mtazamo tu ambao pia unaweza kuwa sio sahihi, hiki kinachoendelea Konde gang kwa Wasanii kuondoka ( hata kama wanaondoka kwa amani) si jambo jema kwa future ya Harmonize na lebo yake, lakini waungwana watauliza kwanini waondoke sasa wakati wa Mchumba kuwa Manager? Yawezekana Manager akisema huyu aondoke basi Harmonize hana budi kuvunja Mkataba.
Jembe my brother, uwezo wako mkubwa saana kwenye industry hii, ili Tanzania ifike mbali inahitaji lebo nyingi zaidi ya WCB, uwezo wako ni level ai zaidi ya Manager Salam, naamini unaweza kuipeleka Konde kimataifa zaidi, hujawahi Kufeli na hutafeli lakini mwambie mdogo wako dada yetu abaki kuwa Mke.
Jembe na Harmonize, kipindi hiki wapinzani wenu watatumia vijana wenu mlio wakuza nakuwekeza fedha kuwachafua, lakini naamini mko imara .
Jembe na Harmonize, Watanzania tunajua mna deni kwa dada yetu Angela, MLIMUAHIDI KUMSAIDIA MATIBABU YA MGUU WAKE NJE YA TANZANIA, MUNGU ATAWABARIKI SANA MKILITIMIZA HILI LICHA YA KUWA ANGELA HAYUKO MIKONONI MWENU KWA SASA.
Najua mmemalizana kwa amani na dada yetu Angela anaenda kutafuta maisha sehemu nyingine( huyu dada asitumiwe nawapinzani wa Konde kama mtu anataka kumsaidia amsaidie kwa nia ya kuendeleza kipaji chake).
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Harmonize ni msanii mwenye kipaji kikubwa saaana, ni msanii anayejituma pia. Harmonize anafanya harakati zake za music kupitia Kampuni/lebo yake ya Konde Gang.
Kwa msanii kipaji na kujituma ni kitu kimoja, lakini kwa Msanii anayetaka kufika level za dunia MANAGEMENT ni kila kitu, a strong management ndio inayomfanya msanii afike mbali, abaki kwenye tasnia kwa muda mrefu, apate endorsement kubwa, aweze kushirikiana na wasanii wakubwa Duniani e.t.c
Dada yetu Kajala Masanja, Ni msanii mkongwe kwenye kiwanda cha maigizo( bongo movie), je ana uwezo, connection, ujanja, ubunifu, elimu (japo sio lazima ila ni muhimu), nia, exposure e.t.c ya kuhakikisha kipaji cha Harmonize kinaendelezwa na kufika mbali zaidi ya hapa?
Natambua pale Konde gang kuna Jembe ni Jembe, Jembe ni mtu makini, mwelewa , sina shaka na connection zake, exposure kubwa, Msomi, anajua figisu za kiwanda cha muziki lakini kinachonipa shaka kuna Manager mwingine ambaye pia ni mchumba wa msanii na anaweza kuwa na nguvu za kusikilizwa na maamuzi kuliko Jembe.
Watanzania wote wamekuwa wakimtazama Harmonize kwa kumlinganisha na Diamond. Lebo ya Diamond inaweza kuwa lebo yenye mafanikio makubwa si Tanzanai tu bali Afrika nzima. Kwa mtazamo huu si vibaya Konde gang wakaiga namna campuni zinavyoendeshwa, Diamond linapokuja suala la campuni na wanamusic wake Wachumba zake wote aliyowahi kuwa nao hakuna aliyewahi kupewa nafasi ya Manager licha ya wengine kuwa na exposure na sifa za kuweza kuwa Manager.
No hate, ni mtazamo tu ambao pia unaweza kuwa sio sahihi, hiki kinachoendelea Konde gang kwa Wasanii kuondoka ( hata kama wanaondoka kwa amani) si jambo jema kwa future ya Harmonize na lebo yake, lakini waungwana watauliza kwanini waondoke sasa wakati wa Mchumba kuwa Manager? Yawezekana Manager akisema huyu aondoke basi Harmonize hana budi kuvunja Mkataba.
Jembe my brother, uwezo wako mkubwa saana kwenye industry hii, ili Tanzania ifike mbali inahitaji lebo nyingi zaidi ya WCB, uwezo wako ni level ai zaidi ya Manager Salam, naamini unaweza kuipeleka Konde kimataifa zaidi, hujawahi Kufeli na hutafeli lakini mwambie mdogo wako dada yetu abaki kuwa Mke.
Jembe na Harmonize, kipindi hiki wapinzani wenu watatumia vijana wenu mlio wakuza nakuwekeza fedha kuwachafua, lakini naamini mko imara .
Jembe na Harmonize, Watanzania tunajua mna deni kwa dada yetu Angela, MLIMUAHIDI KUMSAIDIA MATIBABU YA MGUU WAKE NJE YA TANZANIA, MUNGU ATAWABARIKI SANA MKILITIMIZA HILI LICHA YA KUWA ANGELA HAYUKO MIKONONI MWENU KWA SASA.
Najua mmemalizana kwa amani na dada yetu Angela anaenda kutafuta maisha sehemu nyingine( huyu dada asitumiwe nawapinzani wa Konde kama mtu anataka kumsaidia amsaidie kwa nia ya kuendeleza kipaji chake).
Mungu ibariki Tanzania
Mungu mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan