MR. MORRIS T. J.
JF-Expert Member
- Apr 18, 2013
- 1,167
- 402
Kila goti litapigwa mbele ya CCM, hatimaye bwana mdogo tuliyesoma nae shule moja Gwakisa Mwakasendo amesalimisha maisha yake kwa CCM.
Sijampata kumuuliza kapokea ngapi? Lakini ameahidiwa kupewa jimbo la Mbeya kwa Sugu agombee ili amtoe Sugu. Ngoja tusubiri.
Sijampata kumuuliza kapokea ngapi? Lakini ameahidiwa kupewa jimbo la Mbeya kwa Sugu agombee ili amtoe Sugu. Ngoja tusubiri.