Hatimaye Dotto James aonekana hadharani

Hatimaye Dotto James aonekana hadharani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,322
Reaction score
271,652
Hatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha, Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu.

Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania.

Huyu hapa

Screenshot_2024-03-18-00-24-10-1.png
Screenshot_2024-03-18-00-55-20-1.png
 
Hatimaye Katibu Mkuu wa zamani wa Wizara ya fedha , Bwana Dotto James ameonekana hadharani baada ya kupotea kwa kipindi kirefu .

Ameonekana huko Chato kwenye maadhimisho ya miaka 3 tangu kufariki kwa Mjomba wake John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .

Huyu hapa

View attachment 2937681View attachment 2937682
"........tangu kufariki kwa mjomba wake........." duh
 
Back
Top Bottom