Hatimaye CUF 'Wameridhia' Rasmi, Kushiriki Uchaguzi Wa Marudio Zanzibar!.

Ndiye mimi niliyetangaza matokeo kwa mujibu wa CUF, kama Maalim alipotangaza kwa mujibu CUF na ndipo Jecha akafuta matokeo.

Tujifunze kutii mamlaka halali, mamlaka pekee yenye uhalali wa kutangaza matokeo ni ZEC, sio Channel Ten, sio Maalim Seif. Hili la CUF kushinda na kupokwa ushindi, nimelisema sana humu, kuwa kama ni kweli CUF huwa inashinda lakini haipewi, nini ambacho kingeifanya CUF ikishinda safari hii ipewe?!. Ukiwa unaingia vitani bila kuelewa nguvu za mpinzani wako, usilalamike ukila kipigo!. Kama ni kweli kuwa siku zote CUF wanashinda, lakini ZEC haiwatangazi, na badala yake wanaipa CCM ushindi, jee unazijua sababu?!, sasa CUF ikikubali kuingia kwenye uchaguzi, bila kujua sababu kwa nini wanapokwa, then bila kudeal na sababu, wataendelea kupokwa!.

Nisome hapaJee Kuna Uwezekano Siku Zote Huwa Hazitoshi, Bali Zinatosheshwa!.

Pasco

Duh! Eti kwa mujibu wa CUF, kweli wewe ulitangaza matokeo kwa kufata ueledi wa kazi yako?
"ukuitendea haki taaluma yako "
 
Wakuu kwanza mimi nakubali kwamba CUF walipokwa ushindi. Na kwamba CCM walifanya hivyo makusudi wakijua udhaifu wa CUF. Na kwamba tulipofikia sasa, inabidi CUF washiriki tu uchaguzi wa marudio.

Mtu yeyote anayetaka kuleta mabadiriko ya kweli haogopi virungu, bunduki, wala mazombi. Mtu anayetaka kuleta mabadiriko, anakuwa na NIA THABITI ya ndani, ambayo si Maalim Seif wala Jussa aliyokuwa nayo. Mtu anayetaka kuleta mabadiriko ya kweli, anafanya hivyo kwa ajili ya kizazi cha baadaye. Lakini ukikuta mwanasiasa anataka mabadiriko yatokee machoni mwake, ujue hana NIA ya dhati.

Namkumbuka yule kijana wa Tunisia aliyejiua kwa kujilipua kwa moto. Namkumbuka marehemu Ken Saro-Wiwa wa Niger Delta state alivyokuwa na misimamo ya kuwatetea watu wake hadi akanyongwa.

Lakini sijaona kiongozi pale CUF mwenye NIA thabiti. Kwa sasa naona CCM ndio chaguo sahihi.

Waacheni watu wakashiriki uchaguzi kwa amani. Kama kuna mabadiriko ya kweli, basi yatakuja vizazi vijavyo.
 
Wakuu kwanza mimi nakubali kwamba CUF walipokwa ushindi. Na kwamba CCM walifanya hivyo makusudi wakijua udhaifu wa CUF. Na kwamba tulipofikia sasa, inabidi CUF washiriki tu uchaguzi wa marudio.

Mtu yeyote anayetaka kuleta mabadiriko ya kweli haogopi virungu, bunduki, wala mazombi. Mtu anayetaka kuleta mabadiriko, anakuwa ana NIA THABITI ya ndani, ambayo Si Maalim Seif wala Jussa aliyokuwa nayo. Mtu anayetaka kuleta mabadiriko ya kweli, anafanya hivyo kwa ajili ya kizazi cha baadaye. Lakini ukikuta mwanasiasa anataka mabadiriko yatokee machoni kwake, ujue hana NIA ya dhati.

Namkumbuka yule kijana wa Tunisia aliyejiua kwa kujilipua kwa moto. Namkumbuka marehemu Ken Saro-Wiwa wa Niger Delta state alivyokuwa na misimamo ya kuwatetea watu wake hadi akanyongwa.

Lakini sijaona kiongozi pale CUF mwenye NIA thabiti. Kwa sasa naona CCM ndio chaguo sahihi.

Waacheni watu wakashiriki uchaguzi kwa amani. Kama kuna mabadiriko ya kweli, basi yatakuja vizazi vijavyo.
huu ni ushauri wa kike.
 
Kitendo cha CUF kushiriki kurudia uchaguzi itakuwa ni sawa na timu ya mpira ambayo awali ilishinda lakini refa akavunja pambano akidai haki haijatendeka kwa magoli ambayo CUF walifunga kabla hata timu pinzani haijalalamika.
Sasa timu ya CUF inaalikwa tena uwanjani ambapo timu pinzani (CCM) imefundishwa mbinu mbadala za kucheza rafu na kufunga magoli ya kisigino. Kibaya zaidi CUF itatakiwa kucheza mechi ya ugenini ambapo refarii amethibitisha kwamba ni kibaraka wa timu pinzani.
Kifupi ni kwamba timu ya CUF itacheza ugenini dhidi ya timu pinzani ambayo mashabiki ni wake, kamisaa ni wake, refarii ni wake, na walinzi katika mechi ni wake. Hivi timu ya CUF italalamika wapi siku ikifungwa maana hata waangalizi wa Ulaya na Marekani wamemtahadharisha kwamba hakika katika mechi inayorudiwa hakuna fair play jambo ambalo ni kinyume cha mechi baina ya ARSENAL na BARCELONA
 
Wakuu kwanza mimi nakubali kwamba CUF walipokwa ushindi. Na kwamba CCM walifanya hivyo makusudi wakijua udhaifu wa CUF. Na kwamba tulipofikia sasa, inabidi CUF washiriki tu uchaguzi wa marudio.

Mtu yeyote anayetaka kuleta mabadiriko ya kweli haogopi virungu, bunduki, wala mazombi. Mtu anayetaka kuleta mabadiriko, anakuwa na NIA THABITI ya ndani, ambayo si Maalim Seif wala Jussa aliyokuwa nayo. Mtu anayetaka kuleta mabadiriko ya kweli, anafanya hivyo kwa ajili ya kizazi cha baadaye. Lakini ukikuta mwanasiasa anataka mabadiriko yatokee machoni mwake, ujue hana NIA ya dhati.

Namkumbuka yule kijana wa Tunisia aliyejiua kwa kujilipua kwa moto. Namkumbuka marehemu Ken Saro-Wiwa wa Niger Delta state alivyokuwa na misimamo ya kuwatetea watu wake hadi akanyongwa.

Lakini sijaona kiongozi pale CUF mwenye NIA thabiti. Kwa sasa naona CCM ndio chaguo sahihi.

Waacheni watu wakashiriki uchaguzi kwa amani. Kama kuna mabadiriko ya kweli, basi yatakuja vizazi vijavyo.

Ungependa Maalim Seif na Jussa wajiue kuonyesha hiyo nia? Itakuwa ajabu kubwa sana CUF kushiriki uchaguzi wa aina hiyo; huko ni kujidhalilisha. Kama kweli unaamini CUF walishinda uchaguzi basi uzi ulioweka hapa ungekuwa wa kuwaambia waliowadhulumu ushindi kuwa wametenda dhambi ambayo lazima itawatafuna; kama siyo wao wenyewe basi watoto na wajukuu wao.
 
Hoja yako ni kweli kwa kuzingatia mazingira ya Zanzibar. Nilikunwa na hoja ya Jaji Agustino Ramadhani alipokuwa anahojiwa na Radio ya Ujerumani Jana alisema vizuri kuwa Chaguzi za Afrika hazijawa za Kidemokrasia. Hoja hiyo ni kweli katika chaguzi ambazo hakuna demokrasia ni vigumu wa chama cha siasa kujitoka kwa kuwa kule kujitoa kwenyewe ni tendo la kidemokrasia. Kwa kuwa demokrasia ni msamiati usio na maana kwa nchi za kiafrika ni kweli kuwa CUF hawana uwezo wala ubavu wa kujitoa kushirika uchaguzi wa Zanzibar.
Pili katika mazingira ya Zanzibar ambapo haramu ilishatawala usitegemee haramu isiendelee. Kwa katiba ya Zanzibar na sheria za tume ya uchaguzi wa Zanzibar hakuna utaratibu uliowazi wa namna ya kujitoa kushiriki uchaguzi wa marudio kwa kuwa uchaguzi wa marudio ni dhana mpya kwa vyombo vya sheria vya zanzibar na utaratibu haupo. Kwa msingi huo ni kweli hoja ya kusema kuwa CUF wanaweza kujitoa haiwezekani na kwa msingi huo watashiriki uchaguzi wapende wasipende. Demokrasia ya kujitoa wataisikia kwenye vyombo vya habari.
 
Mwenzako kwa elimu hii hii ninayoimwaga humu, nachukuliwa na wazungu na kulipwa consultancy ya maana tuu, huku wabongo wenzagu wakinibeza!. Naamini kabisa, kama CUF wana akili japo kidogo, watajua nimesema nini humu na wanapaswa kufanya nini, lakini nao akili zao zikiwa ndio kama hizi zako, tusubiri tuu matokeo ya kushehekea ushindi!.

Na kwa kadri wanavyochelewa kuchukua hatua stahiki, ndivyo "the law of limitation" itakavyokuja kuwazuia to do the right thing!, amini nakuambia, CUF bado wako usingizini, by the time wanaamka, it might be too little too late!.

Pasco


Mama mama mama yaaangu duh! Unachukuliwa na wazungu? Aiseeh kama kweli basi shida ipo
 
ndo mana siku zote mtu unaambiwa nchi yenye demokrasia haina maendeleo zec wanaforce watu kukubali mfumo wa utawala wanaoutaka wao kwa kutumia kivuli cha demokrasia.
Jamani Maalim anaumwa nini hata akatibiwe nje kwa milioni 350 katika kipindi hiki cha mapambano kama sio mazingaombwe?
 
Mama mama mama yaaangu duh! Unachukuliwa na wazungu? Aiseeh kama kweli basi shida ipo
Pastor usiwe na mawazo machafu. Msome Pasco hapa na utamwelewa anaposema "anachukuliwa na wazungu" na kulipwa ...........
Wanabodi,
Preamble: Mimi ni mwana fasihi, hapa nimetumia tamathali za semi, kwa kubakwa kwa demokrasia, na sio kubakwa kule kwa wale wenye mawazo machafu!.

Hii ni thread ya swali!, "Jee Kubakwa na Kutulia Sio Kuridhia?!, Na Baada ya Kuridhia, Kuna Haja tena ya Kuhofia Kubakwa kuendelea kubwakwa?!.

Siku zinasonga, sarakasi za hatma ya Zanzibar zinaendelea!. Leo tumenyimwa hulua ya MCC!, who knows kesho tutanyimwa nini?!.
Pasco
Link Kuna haja ya kuhofia kurudiwa Uchaguzi Zanzibar?
 
Jamani Maalim anaumwa nini hata akatibiwe nje kwa milioni 350 katika kipindi hiki cha mapambano kama sio mazingaombwe?
Viongozi wakuu wamepewa(wamejipa) upendeleo huo wa kutibiwa nje ya nchi kwa sababu wameshindwa kuziboresha zahanati na hospitali zetu hapa Tz.
Lakini naamini mara hii anaumwa ugonjwa wa "Jecha"
Pengine ameenda kutafuta dawa ya "ubakaji wa demokrasia" uliofanywa na chama dola huko Zanzibar.
Uzi uliwekwa amekwenda UK. Link Hii Imakaaje? Maalimu Seif kaenda Uingereza!
 
Viongozi wakuu wamepewa(wamejipa) upendeleo huo wa kutibiwa nje ya nchi kwa sababu wameshindwa kuziboresha zahanati na hospitali zetu hapa Tz.
Lakini naamini mara hii anaumwa ugonjwa wa "Jecha"
Pengine ameenda kutafuta dawa ya "ubakaji wa demokrasia" uliofanywa na chama dola huko Zanzibar.
Uzi uliwekwa amekwenda UK. Link Hii Imakaaje? Maalimu Seif kaenda Uingereza!
Naombea iwe hivyo lakini isiwe vinginevyo, kupokea hela ya watawala (adui wa Matumaini) isijekuwa ni kuzungukana mbuyu. Ukizingatia hatuambiwi anasumbuliwa na nini ghafla hii
 
Mwenzako kwa elimu hii hii ninayoimwaga humu, nachukuliwa na wazungu na kulipwa consultancy ya maana tuu, huku wabongo wenzagu wakinibeza!. Naamini kabisa, kama CUF wana akili japo kidogo, watajua nimesema nini humu na wanapaswa kufanya nini, lakini nao akili zao zikiwa ndio kama hizi zako, tusubiri tuu matokeo ya kushehekea ushindi!.

Na kwa kadri wanavyochelewa kuchukua hatua stahiki, ndivyo "the law of limitation" itakavyokuja kuwazuia to do the right thing!, amini nakuambia, CUF bado wako usingizini, by the time wanaamka, it might be too little too late!.

Pasco
WHAT DO YOU INTEND TO WRITE? ULITAKA CUF WAFANYE NINI? HIVI TANZANIA TUMELOGWA NA NANI? KIJANA MZIMA ANASHABIKIA UJINGA NA UBABE ULIOFANYWA KWA MAKUSUDI NA CCM KWA KUTAKA MADARAKA. MTU MWENYE AKILI TIMAMU ANAGIPONGEZA CUF KUEPUSHA UMWAGIKAJI WA DAMU ZANZIBAR. HICHO WALICHOAMUA NI SAHIHI KULIKO KUPAMBANA NA WATU WASIOJALI DAMU YA WAZANZIBAR MAANA HATA INGEKUWAJE CCM HAWAWEZI KUKUBALI KUSHINDWA BORA WAFANYE UCHAGUZI WENYEWE ILA THE DAY IS COMING WHEN EVERYONE WILL SURRENDER BEFORE THE ALMIGHTY GOD
 
Mwenzako kwa elimu hii hii ninayoimwaga humu, nachukuliwa na wazungu na kulipwa consultancy ya maana tuu, huku wabongo wenzagu wakinibeza!. Naamini kabisa, kama CUF wana akili japo kidogo, watajua nimesema nini humu na wanapaswa kufanya nini, lakini nao akili zao zikiwa ndio kama hizi zako, tusubiri tuu matokeo ya kushehekea ushindi!.

Na kwa kadri wanavyochelewa kuchukua hatua stahiki, ndivyo "the law of limitation" itakavyokuja kuwazuia to do the right thing!, amini nakuambia, CUF bado wako usingizini, by the time wanaamka, it might be too little too late!.

Pasco
Mkuu cuf ni wasanii tu,wanajua kila kitu,ina maana kina Abubakar Khamis hawayajui haya?
 
Back
Top Bottom