Hatimaye Boss kaoa

Kumbuka ulivyo mdhalilisha yule dogo uliyekuwa naye ktk nyakati ngumu kisa ulimpata huyo boss kabla ya kumuombea mabaya.
 
Kwakuwa wewe ni mhuni basi unaweza kuchora ramani na kuotoa kwa wahuni wenzio ili wamfanyie uhuni mwanamke mwenzio ambaye huenda hata hajui kama mlikuwa mkifyonza kwa kutumia mrija mmoja.
 
Sijaelewa
Mean ulikuw date mate wa boss, bado wew n kporo cha boss tulia kzn
 
Unataka mungu ajibu roho yako mbaya ya husuda na chuki dhidi ya huyo boss wako??punguza uchawi mbona wanaume wapo wengi tu ukiachwa achika simple tu
 
Kama ni mkristo, mungu wa namna hii hayupo upande wa wakristo labda ujaribu imani nyingine maana tumeambiwa tusamehe 7X70.
Je, maandiko yanasemaje kabla ya kuoana? Ufanye ngono kabla ya ndoa ambayo ni dhambi kisha umuombe Mungu akusikilize.
Mungu wa wakristo siyo wa kulipiza kisasi. Utakuja kuumbuka na kuabika mpaka ushangae.
Kukushari tu, Muombe Mungu akupe uwezo wa kutofanya dhambi ya uasherati na akupe mume wako maana tayari wameshafunga ndoa na andiko linasema ndoa iheshimiwe na watu wote.
 
😂😂😂😂

Sema haya mambo mda mwngn.... unaweza date na wadada wazuri wenye figure kali na wapo vzr kichwani ila ipo siku unatulizwa na mdada wa kawaida sana
Suala la kuoa au kuolewa hujipangii wewe.
 
Unavojibu comments za watu hata mimi ningekua huyo boss nisingekuoa
 
Sawaa Mungu mtu ambaye ambae hata tarehe ya kifo chako hujui na hujui kesho yako
Kazi kuongelea watu ambao huwajui
Kwanini unamuombea mabaya huyo dada pamoja na huyo boss wako?. Maamuzi ya kuoa aliyafanya huyo mwanaume au boss wako?.

Kwanini usiliache lipite, waombee baraka na uzidi kumuomba Mungu akupe yule utayefanana naye?. Kumbuka inawezekana hata huyo dada naye alikuwa akiomba aolewe, na leo majibu yake yametimia.

Samehe endelea na safari. Msamaha ni faida kwako, na sio wale unao wasamehe. Kumbuka anayekosa amani kwa sasa sio huyo dada aliyeolewa au boss wako, bali ni wewe. Wewe ndo unahitaji kusamehe kwa sasa kuliko wakati wowote kwa amani ya moyo wako.
 
Kanipotezea muda
Sasa nimeanzisha mahusiano na mdogo wake mpaka kieleweke
Inaonyesha ni jinsi gani wewe ni mwanamke wa hovyo, una degree ya kutongoza wanaume maana boss ulimuanza wewe aka kwambia anamahusiano, ukajilazimishia kama chaja mbovu, sasa umemuanza mdogo wa boss, una mkomoa boss ambaye yuko na mkewe, anaye chapika ni wewe.
Yata kushinda utajirudisha kwa boss maana unampenda utakuwa mchepuko wa kudumu.
Na mdogo wa boss ataendelea kuku chapa.
Mdogo wa boss hata kuoa, akili zikija kuku rudia una anza kumsumbua Mwamposa aku ombee upate mume, nakusema wanaume wote ni mbuzi ukisahau hata baba yako naye ni mwanaume.
 
Aliyeolewa yawezekana alikuwa anaweka viongo kwenye 'kitumbua' chake, halafu hukuwahi kutumia viungo kwenye 'cha kwako.'
Kwani alikuambia angekuoa?
Na kama 'k' ndio ilikuwa kigezo cha good performance, jiandae kuondoka!
Kama ndoa ina changamoto kwa nini unalalama.
Hapo, unaposema 'unajikaza' una maanisha nini hasa?!
Hivi kweli wewe ulikuwa 'huchezei' "kirungu" cha huyo Bwana Harusi?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…