Hatimaye Boss kaoa

Hatimaye Boss kaoa

Strong and Fearless

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2017
Posts
890
Reaction score
2,203
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kuwa nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, huyo mwanamke mwenyewe hata sijui why did he choose her over me anyways kuoa au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.

Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakuwa banked.

Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
 
Mmechezeana hakukuchezea. Kwani kipindi mnanjunjana wewe ulikuwa unalala kama gogo tu🤣🤣🤣.

Huyo aliekomaa ndio wife material ndio maana akaolewa wewe ilikuwa wa chapa ilale.

By the way karma doesn't work that way. Cha kufanya pambana na hali yako🤣🤣🤣🤣.

Ukihitaji kampani ya kukutoa mawazo nipo hapa, njoo tuchezeane🤣
 
Mmechezeana hakukuchezea. Kwani kipindi mnanjunjana wewe ulikuwa unalala kama gogo tu...

Eti wife material

Tutaona iyo ndoa itakapofikia am here watching

Yani nitafunga na kumuomba Mungu ajibu maombi yangu.

Anhaa Basi kama mm nilikua chaps ilale tutaona yatakayojiri kwa uyo malaya alieolewa atakuja kugongwa na wahuni
 
Hatimae boss wangu kaoa, nilitaka nihudhurie ila kwa kua nampenda sikutaka kumuudhi maana ningefanya kitu cha kushangaza, uyo mwanamke mwenyewe ata sijui why did he choose her over me anyways kuoa Au kuolewa sio Ndio kumaliza kila kitu changamoto na matatizo yapo hadi ndani ya ndoa.
Ofisi naiona chungu kila mtu ananiangalia utasema sijui nipo uchi najikaza tu kwasababu mwisho wa mwezi my salary inakua banked. Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Pole
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom