Hatimaye @Bishanga afulia live live!

Hatimaye @Bishanga afulia live live!

Nashukuru kwa kulitambua hilo shemu wangu.
Sawa shem endelea kuwa mwaminifu kwa kaka yangu Judgement eeeh ila akiwa hayupo tutazima taa siku moja eeh :shocked:
 
Last edited by a moderator:
huko kumburudisha saiv mkewe ndo ingekua shida sasa
Hahahaaa hapo ndio pazuri....kwanza mkewe hana shida na hilo na yeye analijua fika kuwa halisumbui
 
Yaani kafulia hadi huruma, hana hata ndala za bata. Mkewe the secretary anakufa njaa hapa mjini.
  • Nani kwakwambia hana ndala? Ndala anazo si hizi hapa
​
1379794_386387188130441_1720771771_n.jpg
 
Erickb52 ameenda huko bana sasa kapewa kula panya na kutamka nchale ikamshinda so wakamuona sio mwenzao sasa sijui kama kibarua atapata au ataishia kwenda kuvuna korosho
Hahahaaa Mr Rocky kwani una ugomvi na Bishanga ?
Nahisi km keshawahi kumvinjari Dena Amsi ndo maana unamjungukia hivi lol
Badala ya kumpa hata nauli ya kurudia vingunguti unazidi kumnaga khaaaa
 
Last edited by a moderator:
Kumbe shida yako nteme mate...eboo


Utuachee eee
Tena asituzoeeeeeeeeee
Atutueeeeeeeeeeeeeeeeeee
Au nayeye kama ananitaka si aseme nimpe utamu ili asituzoee eboooo!

BTW Nakumiss mpenzi wangu halafu sijui Tanesco wanatugombanisha au la
 
HIVI Bishanga ni mhaya au mchaga?
nauliza tu
af we erick wewe ehehehhehe sauri zako
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa Mr Rocky kwani una ugomvi na Bishanga ?
Nahisi km keshawahi kumvinjari Dena Amsi ndo maana unamjungukia hivi lol
Badala ya kumpa hata nauli ya kurudia vingunguti unazidi kumnaga khaaaa

Erickb52 rekebisha kauli aliwahi na sio alifanya hivyo
Wala simnangi tatizo alikuwa anajitapa sana kuwa yeye ni bepari la kihaya na hafilisiki na hatoishiwa sasa sijui kiko wapi The secretary karibu Archuga uje upate mtori na nyama choma
 
Last edited by a moderator:
Tena asituzoeeeeeeeeee
Atutueeeeeeeeeeeeeeeeeee
Au nayeye kama ananitaka si aseme nimpe utamu ili asituzoee eboooo!

BTW Nakumiss mpenzi wangu halafu sijui Tanesco wanatugombanisha au la

hahahahahahaaaaa mtajicarryyyyyyy!!!!!!!!!!!!!!!

kwendeni zenu hukooo alaaah!!!!!
 
Erickb52 rekebisha kauli aliwahi na sio alifanya hivyo
Wala simnangi tatizo alikuwa anajitapa sana kuwa yeye ni bepari la kihaya na hafilisiki na hatoishiwa sasa sijui kiko wapi The secretary karibu Archuga uje upate mtori na nyama choma

Nyama choma ya mbuzi pale kwa-mromboo imetulia sana The secretary akija habanduki!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom