Hatimaye Babaj Yawa Zimamoto

Jamani msiwe negative ( - hasi ) kiasi hicho – si kitu kizuri. Hapa wengi wenu mnakosoa tu na wengine mnaleta chuki za kibaguzi. Sikuona hata mtu mmoja amekuja na fikra tofauti ya kuboresha hiyo bajaj.

Mimi naona hii ni fikra nzuri ya kuanzia na baada ya matumizi utapatikana uzoefu wa kuboresha. Wote tunajua kuwa kitu muhimu sana katika uzimishaji wa moto ni kuwahi kufika na kuushambuliya. Hii bajaj itaweza kupita kwenya barabara finyu , Kufatana na bei yake nafuu zinaweza kutapakazwa sehemu mbali mbali vitongojini na kuweza kufika kwa haraka sehemu yenye moto.

Huu ndio uwezo wetu wa sasa na hii technologia ndio jawabu kwa hali yetu ya kipesa na kimakazi . tusiangaliwe wale wenye mabarabara mapana na magari makubwa ya zimamoto.

Kuwa negative sana ni kinyume na spirit of great thinkers.
sometime ukiwa na hasira ukitaka kutukana unasahau hayo matusi
wamekupa bei gani mkuu?
 
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikagua Bajaj ambayo imetengenezwa ili kumudu kazi ya kuzima moto hasa kwenye maeneo yenye barabara nyembamba katika maonesho yaliyoandaliwa na Kampuni ya Spray and Fumigation Services Limited, bungeni Dodoma Alhamisi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

04_11_bcuf58.jpg

usanii wa siasa za Tanzania, aibu tupu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom