Serikali inatengeneza kaburi lake lenyewe,watatuzuia kwa fitna kulijadili suala hili kwa hila zao za kichaka cha mahakama,watafanikisha...ila trust me kumziba mtu mdomo ni kumuongezea chuki,heri mtu asemeee anyamazee...serikali haiaminiki,polisi hawaaminiki,mahakama hazina mvuto kwa wanyonge,viongozi hawana touch ya wananchi,hawapendwi.
kinacho tokea Ngado-singida ni kielelezo cha chuki ambayo ipo juu ya serikali na watu wanao i support serikali hiyo,chuki hii watawala wanaijenga kwa wananchi,chuki hii inaanza kukua,itahamia kwa akina Nappe,mwigulu,wasira et el..ipo siku watapigwa kama wezi na wananchi...!
Ukiwashitaki polisi wataachiwa,ukiwapeleka mahakamani watashinda....lakini nikirusha jiwe,panga,au mkoki siwezi kuwakosa....They will feel the pinch that i always feel,the pains caused by them to me shall be paid as permanent torture to them..
make my word