?????Play guilty????? Ungeandika kiswahili tungekuelewa tu kaka. Lakini hiki ulichoandika hapa!!! Mungu anakuona...!!!play guilty? Itakuwa maji yalimfika shingoni au kulikuwa na evidence ya kutosha! I wonder ile miti aliyoiegemea kwa miaka mingi imekatika au?
ni pale mtu unakua umepata pesa nying kwa njia sio ya halali so huez kuzispend ukahisi watu watakushtukiaNaombeni mnisaidie maana ya hili neno "kutakatisha fedha"
Tembea polepole mkulu Gentamycine njoo vile tuko tunaendaka.chunga mbele.Nikiiangalia tena ile Live Show ya Fally Ipupa ya Dar es Salaam na kumwona Pedeshee Ndama Mtoto wa Ng'omba jinsi alivyokuwa anamwagia Fally Ipupa na wale Dancers wake wote pale ' Stejini ' halafu leo namwona akiwa ' Lupango ' nasema kuwa ama kweli dunia haina dhamana na ' Sifa ' ni mbaya mno na hakuna maisha mazuri kama kuishi zako tu simple life kama GENTAMYCINE kwani utakuwa na amani sana na furaha siku zote.
play guilty? Itakuwa maji yalimfika shingoni au kulikuwa na evidence ya kutosha! I wonder ile miti aliyoiegemea kwa miaka mingi imekatika au?
We bwege nini Plead is a legal language! Kwan hujaelewa nini? Au unadhan tulisoma wote LLB??????Play guilty????? Ungeandika kiswahili tungekuelewa tu kaka. Lakini hiki ulichoandika hapa!!! Mungu anakuona...!!!
in
gekuwa mie ningekubali kukaa jela5 years 100 m sitoi walah
sio usawa huu aisee.............................
Kwa Wajanja wa Mjini 100 Million ndani ya Miezi Sita wanaweza wakazipata, sasa Ukake Jela Miaka yote hiyo ukitoka unakuwa Mgeni wa Jiji na Pengine tayari 'Mke wa Watu'!
Nakumbuka maneno yake tukiwa golden fork alinambia anataka kuishi maisha ya kutosumbuana na serikali kwani umri wake sasa ni wakutunza familia hivyo kujihusisha na mambo ya ujanja ujanja si vyema sasa. Lakin naona hesabu zimekataa.Mfanyabiashara, Ndama Shabani Hussein (Pichani katikati) maarufu kama Ndama mtoto ya Ng'ombe amekiri mahakamani kosa la kutakatisha zaidi ya billioni 1.2.
Ndama anadaiwa kuwa Februari 20, 2014 jijini Dar es Salaam, alighushi nyaraka ya kibali cha kusafirisha madini na sampuli za madini kwa kusudi la kuonesha kuwa kampuni ya Muru Platnum Tanzania Investment Company Limited iliruhusiwa kusafirisha maboxi manne ya dhahabu yenye kilogramu 207 yenye thamani ya Dola za Marekani 8,280,000.00 kwenda Australia kwa kampuni ya Trade TJL DTYL Limited wakati akijua si kweli.
Chanzo: Nipashe
haha hehee bashite sio mlugaluga kama ameweza kumchezesha bosi wake sebene ameingia chaka!! sasa anafanya mambo ya hovyohovyo ......... shkamoo bashite pale ziro inapoweza kuichezesha piihechi dii mnanda huo ni zaidi ya uhuni usimchukulie poa aseeHahaha kama mlugaluga Bashite tu anaweza kuipata hiyo milion 100 kwa siku au wiki ndo ije kuwa mtoto wa mujini Ndama ambaye hiyo milioni 100 anaingiza kwa masaa tu.
Jela ni mbaya waulize Fm academia
Nakupa mfano mdogo tu " upo kitaani huna kazi wala biashara, ila gafla unapeleka madawa ya kulevya south unarud unalipwa milion mia tatu, cha kwanza huwez kaa nazo ndani pili utumiaji wake watu watauliza umepata wapi pesa? Maana hela haijifichi!Naombeni mnisaidie maana ya hili neno "kutakatisha fedha"
Acha mawazo ya kimaskini ndugu yangu,in
gekuwa mie ningekubali kukaa jela5 years 100 m sitoi walah
kaa na yako ya kitajiri pim.bi wewe mawazo ya kimasikini ni yapi?Acha mawazo ya kimaskini ndugu yangu,
Unafanya mchezo na jela!
...acha umbea kwa vitu usivyovijua kuchafulia watu majina,Jamaa alimchukua dem wa papii kocha akamuoa kamzalisha fasta! Anaitwa Mirayesa mbombo alikuwa muimbaji na mcheza show wa Fm academia kaimba ktk ule wimbo wa Dunia kigeu geu
Nakupa mfano mdogo tu " upo kitaani huna kazi wala biashara, ila gafla unapeleka madawa ya kulevya south unarud unalipwa milion mia tatu, cha kwanza huwez kaa nazo ndani pili utumiaji wake watu watauliza umepata wapi pesa? Maana hela haijifichi!
Sasa walichokuwa watu wanafanya anafungua kiduka cha kuuza nguo/boutique kisha anaweka mzigo, then anaanza kutumia fedha sasa ukimuuliza anakuambia duka la nguo linalipa sana, anachukua hela anaingiza bank mfano kwa siku 40 milion akifatiliwa na vyombo vya usalama anawaonyeshea duka la nguo kwamba ndio chanzo cha mapato yake! Kuumbe lahaula.
Na hii style kipindi cha kikwet ilikuwa common sana vuduka vya nguo vikawa vingii na watu wana hela mbayaa....ila ww ukichukua hela yako ya shamban ukawekeza unashanhaa huoni biashara
Nakupa mfano mdogo tu " upo kitaani huna kazi wala biashara, ila gafla unapeleka madawa ya kulevya south unarud unalipwa milion mia tatu, cha kwanza huwez kaa nazo ndani pili utumiaji wake watu watauliza umepata wapi pesa? Maana hela haijifichi!
Sasa walichokuwa watu wanafanya anafungua kiduka cha kuuza nguo/boutique kisha anaweka mzigo, then anaanza kutumia fedha sasa ukimuuliza anakuambia duka la nguo linalipa sana, anachukua hela anaingiza bank mfano kwa siku 40 milion akifatiliwa na vyombo vya usalama anawaonyeshea duka la nguo kwamba ndio chanzo cha mapato yake! Kuumbe lahaula.
Na hii style kipindi cha kikwet ilikuwa common sana vuduka vya nguo vikawa vingii na watu wana hela mbayaa....ila ww ukichukua hela yako ya shamban ukawekeza unashanhaa huoni biashara
Amekubali kutakatisha 1.18Bln
Adhabu kwa mujibu wa sheria hilo kosa
a) Kifungo kati ya miaka 5 kisichozid miaka 10 AU
b) Faini ya kati ya mili 100 mpaka 500
Hapo ndio nnapoipenda sheria.
hujui hata unachoongea ..kakiri ili kurahisisha mambo ..hapo nafungwa miaka 3 au mitano akifungwa 3 anakaa 1.8 months mchezo umeisha anarudi kula mabilioni yake ...Imekula kwake