victor moshi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 829
- 1,064
God is good......all the time.....
And all the time......
And all the time......
hongera sana. kweli nimeamini utumishi ni taasisi huru. mimi pia namshukuru MUNGU nimeitwa kazini baada ya kusota mtaani tangu 2008. ndugu na jamaa walikuwa wakinibeza kuwa nimesomea fani mbaya isiyo na ajira
ila siku kata tamaa niliendelea kuaply na kumuomba Mungu. hatimae nami nimepata kazi. Wale ambao bado hamjapata msikate tamaa endelea kuaply ipo siku utapata
hongera sana. kweli nimeamini utumishi ni taasisi huru. mimi pia namshukuru MUNGU nimeitwa kazini baada ya kusota mtaani tangu 2008. ndugu na jamaa walikuwa wakinibeza kuwa nimesomea fani mbaya isiyo na ajira
ila siku kata tamaa niliendelea kuaply na kumuomba Mungu. hatimae nami nimepata kazi. Wale ambao bado hamjapata msikate tamaa endelea kuaply ipo siku utapata
samahani mambaraka naomba nikuulize kidogo:
hivi barua na CV yako uliyotuma na kupata kazi utumishi uliandika kwa mkono au ulichapa?
Don't Forget Salary ya kwanza YOTE itoe sadaka kwa Mungu na kuwapa wazazi/walezi
nami pia natamani sana kujua kuhusu hili pia!
Je cv na barua kwenda utumishi zinakuwa hand written ama typed?
nami pia natamani sana kujua kuhusu hili pia!
Je cv na barua kwenda utumishi zinakuwa hand written ama typed?
Barua niliandika kwa mkono, ila cv nilitype. pomoja na barua pia kikubwa ni maandalizi na kusoma maana interview zote written na oral wanauliza maswali ya proffessional
Barua niliandika kwa mkono, ila cv nilitype. pomoja na barua pia kikubwa ni maandalizi na kusoma maana interview zote written na oral wanauliza maswali ya proffessional