Hatimae nimepata kazi baada ya kumaliza chuo

Hatimae nimepata kazi baada ya kumaliza chuo

Joined
Jan 21, 2015
Posts
59
Reaction score
18
Nachukua nafasi hii kumshukuru mungu wa mbinguni kwa kutimiza ndoto zangu za maisha. Wanajamii forum napenda kuwapa moyo kwamba kazi zipo lkn wahitaji ni wengi mno. Hivyo basi kumbe haipaswi kukata tamaa. Jana usiku nimeona jina langu kati ya watu wanaoitwa kazin. Mpaka sasa siamini macho yangu nahis kama naota. Cos family members walisha niambia ajira ni ngumu sana. So niandae miaka kama mitatu ya kusota....but haikuwa hvyo. HIVYO BASI NAPENDA KUWAAMBIA ATAFUTAE ACHOKI. UTUMISHI NI CHOMBO HURU KWA WATOTO WA WAKULIMA KAMA MM. MSIKATE TAMAA
 
hongera Mungu ni mwema sana,usimsahau ktk maisha yako ya u2mish wa umma,uliendelea hvo atazd kufungua baraka zaid,so karhbu ingawa huku nako kuna changamoto zake,ila atleast unakuwa na kauhakika fulani.
 
Don't Forget Salary ya kwanza YOTE itoe sadaka kwa Mungu na kuwapa wazazi/walezi
 
Nachukua nafasi hii kumshukuru mungu wa mbinguni kwa kutimiza ndoto zangu za maisha. Wanajamii forum napenda kuwapa moyo kwamba kazi zipo lkn wahitaji ni wengi mno. Hivyo basi kumbe haipaswi kukata tamaa. Jana usiku nimeona jina langu kati ya watu wanaoitwa kazin. Mpaka sasa siamini macho yangu nahis kama naota. Cos family members walisha niambia ajira ni ngumu sana. So niandae miaka kama mitatu ya kusota....but haikuwa hvyo. HIVYO BASI NAPENDA KUWAAMBIA ATAFUTAE ACHOKI. UTUMISHI NI CHOMBO HURU KWA WATOTO WA WAKULIMA KAMA MM. MSIKATE TAMAA

Na usiamini hadi utakapopata barua ya mwajiri, ukasaini mkataba wa kazi na kuonyesha ofisi na dawati lako (kama lipo). Hayo yakitimia, angalau utakuwa na uhakika zaidi..... Hogera
 
Nachukua nafasi hii kumshukuru mungu wa mbinguni kwa kutimiza ndoto zangu za maisha. Wanajamii forum napenda kuwapa moyo kwamba kazi zipo lkn wahitaji ni wengi mno. Hivyo basi kumbe haipaswi kukata tamaa. Jana usiku nimeona jina langu kati ya watu wanaoitwa kazin. Mpaka sasa siamini macho yangu nahis kama naota. Cos family members walisha niambia ajira ni ngumu sana. So niandae miaka kama mitatu ya kusota....but haikuwa hvyo. HIVYO BASI NAPENDA KUWAAMBIA ATAFUTAE ACHOKI. UTUMISHI NI CHOMBO HURU KWA WATOTO WA WAKULIMA KAMA MM. MSIKATE TAMAA

Hongera kwa kupata kazi serikalini, kafanye kazi kwa nguvu zote na maombi kama ulivyokua ukifanya wakati unaitafuta.

Halafu Mungu wa mbinguni anaitwa Mungu na wala si mungu; ukisema mungu maana inakuwa ni nyingine kabisaa.

Hongera sana, hii stress umeimaliza, inayofuata sijui umejiandaaje kuikabili.
 
Hongera kwa kupata kazi serikalini, kafanye kazi kwa nguvu zote na maombi kama ulivyokua ukifanya wakati unaitafuta.

Halafu Mungu wa mbinguni anaitwa Mungu na wala si mungu; ukisema mungu maana inakuwa ni nyingine kabisaa.

Hongera sana, hii stress umeimaliza, inayofuata sijui umejiandaaje kuikabili.

Inayofuata ni ipi hiyo Mkuu?
 
1.katoe sadaka.
2.jihadhari na akina ''haitofeli''.
3.usisahau ulikotoka.
 
Back
Top Bottom