Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 4,218
- 5,901
hongera sana. kapige kazi ingawa maslahi siyo mazuri sana lakini kapige kazi. Nchi inakuhitaji.
Kaz kaziwakuu habari za siku nyingi?
atafutae hachoki,baada ya kuzifukuzia kazi za serikali kwa muda mrefu hatimae nimepata kazi huko serikalin kwa Magufuli,nimekua miongoni mwa watanzania wachache tuliochaguliwa ktk nafasi ya economist grade ii katika moja ya wizara nyeti kabisa hapa nchini.so nawasihi tu wale ambao hamjapata kazi bado,msife moyo.Mungu ni mwema,wakati wako ukifika atakuinua tu..
Asanteni kwa Nyote tulioshirikiana kwenye hili jukwaa letu pendwa.
Duh [emoji23][emoji23][emoji23]Hongera sana Perry Nikikumbuka Zile Nafasi za TRA Ulizodondokea Pua Uka panic na kujishaua kuwa una Kazi Nyingine kumbe huna lolote na Sasa unafurahia Kazi ya Economist-Grade II yenye mshahara wa 716,000.
Mungu Akujalie Perry hapa katikati ulipunguza Mdomo na ndo imekua Silaha yako Nakutakia Utumishi Mwema mkuu Maana Umesota sana taangu mwaka 2013 kama Degree zingekua Zina Expire basi ya Kwako Ingekua tayari ilisha expire
Mkuu Hongera sana.
Na tuliopata tukawa maadui zake😀😀😀, ila jamaa comment yako ina maudambwi ya kufa mtu na vijembe vya haja.Hongera sana Perry Nikikumbuka Zile Nafasi za TRA Ulizodondokea Pua Uka panic na kujishaua kuwa una Kazi Nyingine kumbe huna lolote na Sasa unafurahia Kazi ya Economist-Grade II yenye mshahara wa 716,000.
Mungu Akujalie Perry hapa katikati ulipunguza Mdomo na ndo imekua Silaha yako Nakutakia Utumishi Mwema mkuu Maana Umesota sana taangu mwaka 2013 kama Degree zingekua Zina Expire basi ya Kwako Ingekua tayari ilisha expire
Mkuu Hongera sana.
Kwaio jamaa anafurahia kwenda kufanya kazi wizarank hahahaha
Kama ni kweli umepata basi unastahili pongezi maana nimekutana na thread yako ya kutafuta kazi usalama ya 2011.Hongera Sana mkuu.Wakuu habari za siku nyingi?
Atafutae hachoki, baada ya kuzifukuzia kazi za Serikali kwa muda mrefu hatimae nimepata kazi huko Serikalini kwa Magufuli, nimekua miongoni mwa watanzania wachache tuliochaguliwa katika nafasi ya economist grade II katika moja ya wizara nyeti kabisa hapa nchini.
So nawasihi tu wale ambao hamjapata kazi bado, msife moyo. Mungu ni mwema, wakati wako ukifika atakuinua tu..
Asanteni kwa Nyote tulioshirikiana kwenye hili jukwaa letu pendwa.
Thanks , Kwa Kututia Moyo Me Nilisha Anza Kukata TamaaWakuu habari za siku nyingi?
Atafutae hachoki, baada ya kuzifukuzia kazi za Serikali kwa muda mrefu hatimae nimepata kazi huko Serikalini kwa Magufuli, nimekua miongoni mwa watanzania wachache tuliochaguliwa katika nafasi ya economist grade II katika moja ya wizara nyeti kabisa hapa nchini.
So nawasihi tu wale ambao hamjapata kazi bado, msife moyo. Mungu ni mwema, wakati wako ukifika atakuinua tu..
Asanteni kwa Nyote tulioshirikiana kwenye hili jukwaa letu pendwa.
Kumbe ni dada sio jamaa hahahKwaio jamaa anafurahia kwenda kufanya kazi wizarank hahahaha
Bwana asifiwe mkuu.Umelamba ajira kama alivyojisifu mwingine anayejiita tax compliant
Mchumi daraja la pili katika ngazi ya mshahara TGS D utaanza na mshahara wa 650,000 na take home ya kama 430,000 hongera lakiniwakuu habari za siku nyingi?
atafutae hachoki,baada ya kuzifukuzia kazi za serikali kwa muda mrefu hatimae nimepata kazi huko serikalin kwa Magufuli,nimekua miongoni mwa watanzania wachache tuliochaguliwa ktk nafasi ya economist grade ii katika moja ya wizara nyeti kabisa hapa nchini.so nawasihi tu wale ambao hamjapata kazi bado,msife moyo.Mungu ni mwema,wakati wako ukifika atakuinua tu..
Asanteni kwa Nyote tulioshirikiana kwenye hili jukwaa letu pendwa.