Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,082
- 2,358
Wakuu habari za siku nyingi?
Atafutae hachoki, baada ya kuzifukuzia kazi za Serikali kwa muda mrefu hatimae nimepata kazi huko Serikalini kwa Magufuli, nimekua miongoni mwa watanzania wachache tuliochaguliwa katika nafasi ya economist grade II katika moja ya wizara nyeti kabisa hapa nchini.
So nawasihi tu wale ambao hamjapata kazi bado, msife moyo. Mungu ni mwema, wakati wako ukifika atakuinua tu..
Asanteni kwa Nyote tulioshirikiana kwenye hili jukwaa letu pendwa.
Atafutae hachoki, baada ya kuzifukuzia kazi za Serikali kwa muda mrefu hatimae nimepata kazi huko Serikalini kwa Magufuli, nimekua miongoni mwa watanzania wachache tuliochaguliwa katika nafasi ya economist grade II katika moja ya wizara nyeti kabisa hapa nchini.
So nawasihi tu wale ambao hamjapata kazi bado, msife moyo. Mungu ni mwema, wakati wako ukifika atakuinua tu..
Asanteni kwa Nyote tulioshirikiana kwenye hili jukwaa letu pendwa.