Acha kuongopa Hapa!
Misri sasa hivi imerudi kule kule ilikotoka, si ajabu kubaya zaidi! Jeshi lile lile la Mubaraka ndiyo limechukuwa nchi tena, hakuna Demokrasia yoyote ile kwanza Arab Spring revolution yote imefeli vibaya mno! Mpaka leo hii hakuna Raisi wa kuchaguliwa na Jeshi ndiyo linaaamua kila kitu ambalo halichaguliwa na mtu yoyote yule!
Halafu isitoshe unalinganisha vitu visivyolingana huwezi kulinganisha Urusi au sijui Misri na TanZania, hizo nchi zote zilikuwa zinaongozwa kidekta na kulikuwa hakuna uhuru wowote ule si wa kuabudu, wa habari au hata kupiga kura sasa TanZania hatuko hivyo hapa kwetu kuna kila aina ya uhuru leo hii Slaa au sijui Mbowe anasimama jukwaani na kumwita Raisi wa JMT mwizi na fisadi na anashuka jukwaani anapanda gari lake anarudi nyumbani kwake au hata kwenda baa kunywa bia na hakuna anayemuhoji kitu na analalal usingizi anasex na Mke wake bila bugdha kama watz wengine tu, magazeti yanaandika yanavyotaka kuhusu CCM na Raisi wa JMT mpaka wanaandika kwamba raisi wa JMT kauza nchi kwa Wachina kwa sababu mtoto wake alishikwa na madawa ya kulevya Uchina na hakuna kitu kinatokea kwa hawa wanaoandika hivi, Uchaguzi unafanyika Upinzani wakishindwa wanakwenbda Mahakamani rejea Igunga na wanashinda mgombea wa CCM anatenguliwa na Mahakama, Upinzani wanafanya Mikutano bila ya shida na humo wanatukana na kushutumu Serikali rejea Mwanza na saa nyingine hata ushahidi hawana lkn wanalala vizuri tu bila ya shida kwanza wengine hata walinzi hawana sasa kuna Demokrasia zaidi ya hiyo?
Kumbuka Raisi wa JMT ana Absolute Power akiamua hayo yote niliyoyataja anaweza kuyakataza, anaweza kuamua kukifuta CHADEMA kesho na kumweka Slaa ndani kwa kumwita tu (raisi) fisadi na sheria hiyo ipo lkn halifanyiki...
Barbosa bhana. Anadhani serikali zote zilizoondolewa madarakani na upinzani hazikuwa na mavyombo yoote hayo uliyotaja? Nchi za Ulaya na marekani zinashirikiana na serikali yoyote alimradi imeingia madarakani kwa halali kidemokrasia.Wacha kudanganya watu na kuwatia woga. Siku hizi hakuna ubabe wa hovyo kiasi hicho na ndio maana wengi waliofanya hivyo wametoka madarakani na kustaafia The Hague kumalizia uzee wao.
Fikra za kizamani achana nazo
Barbosa bhana. Anadhani serikali zote zilizoondolewa madarakani na upinzani hazikuwa na mavyombo yoote hayo uliyotaja? Nchi za Ulaya na marekani zinashirikiana na serikali yoyote alimradi imeingia madarakani kwa halali kidemokrasia.
Acha kuongopa Hapa!
Misri sasa hivi imerudi kule kule ilikotoka, si ajabu kubaya zaidi! Jeshi lile lile la Mubaraka ndiyo limechukuwa nchi tena, hakuna Demokrasia yoyote ile kwanza Arab Spring revolution yote imefeli vibaya mno! Mpaka leo hii hakuna Raisi wa kuchaguliwa na Jeshi ndiyo linaaamua kila kitu ambalo halichaguliwa na mtu yoyote yule!
Halafu isitoshe unalinganisha vitu visivyolingana huwezi kulinganisha Urusi au sijui Misri na TanZania, hizo nchi zote zilikuwa zinaongozwa kidekta na kulikuwa hakuna uhuru wowote ule si wa kuabudu, wa habari au hata kupiga kura sasa TanZania hatuko hivyo hapa kwetu kuna kila aina ya uhuru leo hii Slaa au sijui Mbowe anasimama jukwaani na kumwita Raisi wa JMT mwizi na fisadi na anashuka jukwaani anapanda gari lake anarudi nyumbani kwake au hata kwenda baa kunywa bia na hakuna anayemuhoji kitu na analalal usingizi anasex na Mke wake bila bugdha kama watz wengine tu, magazeti yanaandika yanavyotaka kuhusu CCM na Raisi wa JMT mpaka wanaandika kwamba raisi wa JMT kauza nchi kwa Wachina kwa sababu mtoto wake alishikwa na madawa ya kulevya Uchina na hakuna kitu kinatokea kwa hawa wanaoandika hivi, Uchaguzi unafanyika Upinzani wakishindwa wanakwenbda Mahakamani rejea Igunga na wanashinda mgombea wa CCM anatenguliwa na Mahakama, Upinzani wanafanya Mikutano bila ya shida na humo wanatukana na kushutumu Serikali rejea Mwanza na saa nyingine hata ushahidi hawana lkn wanalala vizuri tu bila ya shida kwanza wengine hata walinzi hawana sasa kuna Demokrasia zaidi ya hiyo?
Kumbuka Raisi wa JMT ana Absolute Power akiamua hayo yote niliyoyataja anaweza kuyakataza, anaweza kuamua kukifuta CHADEMA kesho na kumweka Slaa ndani kwa kumwita tu (raisi) fisadi na sheria hiyo ipo lkn halifanyiki...
Haya Libya, Misri, Iraq, Yemen walikuwa na mawazo kama yako lakini sasa wamejifunza wanajuta. Kwa hiyo unataka kutuambia nasisi watanzania tujaribu mawazo hayo ili tuje pata tabu ya maisha kwetu na familia zetu? ?
Haya Libya, Misri, Iraq, Yemen walikuwa na mawazo kama yako lakini sasa wamejifunza wanajuta. Kwa hiyo unataka kutuambia nasisi watanzania tujaribu mawazo hayo ili tuje pata tabu ya maisha kwetu na familia zetu? ?