Hawawezi kuelewa.Mawazo yako yanachukukiwa naamini watayafanyia kazi lkn nakushauri tena mkuu endelea na usichoke kutoa elimu kwa watumiaji wa barabara wabadilike watumie barabara kwa nidhamu ili tupunguze ajali zinazoweza kuzuilika hasa hao waendesha gari za abiria maana umekiri mwenyewe wakiruhusiwa kwa awamu wanafukuzana na kusababisha ajali zinazoweza kuzuilika
Ifisi zoo... IpoHivi ile zoo iko active?
Na pale ndio mauwaji point aiseeWajenge tu.
Magari makubwa kila baada ya siku kadhaa unakuta limefeli break.
Mimi hiyo mitaa nashinda sana huko,ajali nyingi nazishuhudia.
Yaani pale kabla ya kufika relini unaposhuka Mbalizi ,lile korongo,tunapita tu kishujaa maana hatuna namna.
Wenye mamlaka waliangalie hilo.
Kinachosaidia pia barabara ile bado ni nzuriIla ule mteremko toka kawetere kuitafuta mbeya,ile njia ingekua ina magari mengi kama mbeya To tunduma ingeua sana
Yes hapa mteremko unaonekana vzr
Mwaka fulani jirani yangu mtaani ambaye alikuwa dereva alimwaga kadaladala kote korongoni.Walikufa karibia wote akiwepo yeye mwenyewe.Na pale ndio mauwaji point aisee