Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,536
- 4,532
Hali imekuwa mbaya jamani vipi hayo madaladala? ebu soma na hii 100_6136.JPG (image)
Mkuu kuna mengine yanaitwa KY yapo sana kwenye maduka ya dawa kuna baba mmoja anatembea nayo kweny mfuko wa shirt yeye ni wake za watu tu ndo anawafanyia lakini kwa makubaliano maalumu.
Hiki ni kiama. Hata ka binti ka miaka mitatu kinawapa watu mifadhaiko? Kwa kweli dunia imefika pabaya. Inabidi iwepo siku moja ya maombi kuliombea taifa. Kila mtu aombe kwa imani yake.
mdada amejaa haswa halaf mlaaiiiin kwani alikuwa amenibana na sehemu zake za kukalia. nadhania aligundua kuwa sivaagi chupi (bunduki huendelea kukua usipoibana na pichu)
Angeendelea kukusogelea na kujipindisha pindisha ungemaliza au ungechafua suruali na wewe maana bunduki si ilisha anza kuwaka moto du kumbe makalio yana mvuto wake hahahahaha.
jamani ni pepoooo au baradhuliiiiiiiiiiiiiiiiii....Jana sikupata kuona taarifa ya habari saa mbili. Ila nimepewa taarifa kwamba miongoni mwa habari zilizoonyeshwa, moja ilihusu ubakaji uliotaka kufanyika au uliofanyika kwenye daladala ya Makongo kwenda Mwenge jana.
Nilivyoelezwa ni kwamba basi lilikuwa limejaa sana, mama mmoja alikuwa na mtoto wa kike (umri sijui), baba aliyekuwa karibu alijitolea kumsaidia yule kumpakata yule mtoto wake kwa vile yeye alikua ameketi. Baada ya muda yule mtoto akaanza kupiga kelele na kulia kutahamaki jamaa alikuwa katika harakati za kumbaka yule mtoto aliyekuwa amembeba. Basi likasima na kumkagua jamaa na kumkuta na mafuta ya vaseline ambayo aliyatumia kwa shuguhuli ya ubakaji! Alipelekwa kituo cha polisi mwenge na labda atapelekwa mahakamani kwahatua zaidi za kisheria.
Jambo ambalo sijaelewa je alifanikiwa kumbaka huyu mtoto?
Nimeshtushwa mno!
jamani ni pepoooo au baradhuliiiiiiiiiiiiiiiiii....
sheria ichukue mkondo wake na liwe funzo kwa wale wote wenye hisia na tabia chafu kama hizooo
astakafulaaahhhh...
Shekhe kama hujajua kuwa makalio yanavutia fanya sensa ndogo jijini. Angalia mwanaume anapopishana na mwanamke hugeuka kuangalia nini yake?
Nyie akina mama acheni machozi ya mamba hapa MNATUCHOKOZA wenyewe na vimbwanga vyenu...
Hahahaha kweli mkuu umenena.
Kuna siku nilikuwa nimekaa na dada mmoja anamaumbile makubwa nyuma yaani makalio mugongo kuna wazee flani walikaa pembeni yaani toka anafika nilipo kaa mimi wao jicho tu kwake nikinyanyuka kwenda toilet wazee wale wanamwomba contacts. Dah nilichoka tunaondoka kupita sehemu jamaa nako kumbe walisha mwona nikakuta mtoto mdogo katumwa analeta kimemo kwa yule dada nazo contacts.....duh nilinyosha mikono mkuu.
Na kila tukipishana na wanaume lazima wageuke wanaangalia nyuma waliko toka.
Huyo mtoto nae kachokoza?
...Mkuu
mi nakwambia hata kibibi kikongwe kikwekwe kiajuza kikipita kitaa halafu kuna kibinda inaning'inia kwa nyuma WALUMENDAGO lazma watageuka tu kumtukuza.
Mkuu sijui wanaume tunavutiwa na nini kwenye wowowo hebu nipe siri ya hii kitu maana wowowo limekuwa kama sumaku kwa mwanaume.
Huyo mtu aliyejaribu kubaka hawezi kuwa na akili timamu
Nadhani Dr. Silaha ni Mzalendo tu! kiasi ambacho sote tunapaswa kuwa!
Hii ni nchi yetu wenyewe ambayo mwenyezi Mungu ametujalia kuzaliwa kwayo hivyo hatunabudi kwanza kujiendeleza kielimu ili tuweze kuijenga nchi yetu wenyewe kwa kutumia maliasili tuliojaliwa na Mwenzi Mungu.
"Human Resource Development" Katika nchi yetu haikwepeki hata kidogo katika dunia ya leo maana kila maendeleo sawia na endelevu yahitaji sayansi na tekinolojia yenye utafiti endelevu! kitu ambacho kwetu ni tofauti, Tumewaachia wachache wenye elimu kidogo wasio wazalendo kutumia ujinga wetu kujinufaisha wenyewe na marafiki zao kwa kufuja maliasili zetu kwa visingizio lukuki bila kujali hatma ya kizazi kijacho na kilichopo.
Ni hatari sana kuongoza nchi bila dira na mikakati ya kutimiza matamanio ya wananchi yanayoongozwa na michakato ndani ya DIRA!
Baba wa Taifa Mwalimu nyerere alianza kutuandaa kuwa na mwelekeo/DIRA kama ifuatavyo:- Ili tuendelee tunahitaji watu siasa safi na Uongozi Bora na kwamba maadui wetu wkubwa katika maendeleo ambao tunahitaji kupambana nao usiku na mchana ili tupate maendeleo ni umaskini, ujinga na maradhi! hivyo ni vyema tungeendeleza juhudi za mwalimu za kupambana na ujinga kwakuweka mkazo mkubwa zaidi katika kuwapa elimu BORA watanzania mambo mengine kwa sasa yangekwenda vizuri badala yake ....! Naomba wenzangu mchangie maana mimi sioni kama kunajuhudi mahususi zinafanyika kutoa elimu bora kuendana na mahitaji tuliyonayo ukiangalia mifumo yetu ya Elimu!
Tutangulize Uzalendo katika kila jambo!