fiksiman
JF-Expert Member
- May 17, 2008
- 402
- 107
Unajua hawa jamaa wako wengi sana, afu wamejipa majukumu tofauti: 1) Wazee wa Chaji...hawa kazi yao ni kubashia wamama waliojaliwa ma.... kwenye madaladala, mara nyingi mtawakuta katika vituo vya mabasi yanayojaza sana kama Mbagala, Gombo la Mboto na Hata Makongo. 2) Wazee wa Mdadi...hawa bwana kazi yao kubwa hubashia wanaume wenzao tena hawa ndo mfano wa hilo lipungua lililotaka kubaka afu wakati mwingine hujifanya vibaka lakini wala shida yao ni hiyo. 3) Wazee wa wese...hawa ndo specialists hutembea na dhana kama mafuta ya vaseline kwani hawaoni taabu kumchomoa kaptain na kupiga bunduki. Hawa huwa hawapendi kubashia au kupata chaji kama wanasema wenyewe ila hutaki vyombo live. Hutembea na viwembe professional kama vile vya vibaka yaani ukichelewa tu wamekuchafua, uzuri wake ni kuwa wakifanikiwa kugusa ngozi tu basi washamaliza kazi. 4) Wazee wa Mtungo....hawa jamani wako sana uswazi, vijana wa makundi au wahuni.. ukimkatalia mmoja wapo basi bora uachane na mambo ya wanaume maana wanauwezo wa kukodi mtu kutoka mtaa wa pili aje kukutia mkononi.
Mimi nasema tatizo sio kukosa wanawake ila tabia zao mbaya tu kwa kuwa wamelelewa hivyo....wakati mwingine wazazi tuangalie na nyumba zetu hizi. Sitaki kuongeza ila tukumbuke watoto wetu huwa hawalali kusikiliza ya usiku chinde chonde mnatengeza matatizo mbeleni...
Mimi nasema tatizo sio kukosa wanawake ila tabia zao mbaya tu kwa kuwa wamelelewa hivyo....wakati mwingine wazazi tuangalie na nyumba zetu hizi. Sitaki kuongeza ila tukumbuke watoto wetu huwa hawalali kusikiliza ya usiku chinde chonde mnatengeza matatizo mbeleni...