Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
Wakuu siku si nyingi nimepita njia hii Dar-Tunduma,eneo la Kitonga vibao vyote vya alama za barabarani vilivyokuwa vinaonyesha na kuhadharisha hali ya barabara kama,kona kali nk vimeondolewa/ibwa.
Naiona hatari inayokuja kwa madereva wageni wa njia kupata matatizo kwa kukosekana alama za tahadhari eneo hilo lenye mteremko mkali. Ni biashara ya chuma chakavu? Tanroads mkoa Iringa mpo?
Naiona hatari inayokuja kwa madereva wageni wa njia kupata matatizo kwa kukosekana alama za tahadhari eneo hilo lenye mteremko mkali. Ni biashara ya chuma chakavu? Tanroads mkoa Iringa mpo?