HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,569
Yapo ya kuvumilika lakini kwa hili, Mhhhhh!
Mpe pole aisee!
Mpe pole aisee!
hahahha kwanza huyo mke nae ----- kweli kweli...anakwambia wee jirani wake ili iweje? hafai kabisa
Kama yapi mdau hili swala ni zito jamani tusikiea tu kwa jirani!
Mzabzab kuna mambo mengine magumu, usipoyasema unaweza kupanda kichaa. Halafu u know ni ngumu sana kuificha hii siri maana beki tatu tayari anaijua na mtu amelazwa hospital. So now mama wa pande zote mbili wanajua issue!
Hivi inakueje mwanaume anatoa gegedo lake kumpa mwenzie amgegede ,hii aina ya ugegedo ni ya kishetani ,yaani mwanaume anagegedeshwa na mwenzie sijui dunia tunaelekea wapi, mungu atuepushe na huu mtindo huu wa wanaume kugegedana.