Hatari! Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza Kagera, Geita na Kahama mkoani Shinyanga

Kaongea ukweli. Wabongo wafupi, labda mkizaa na watusi warefu mtapata watoto warefu wasiokuwa na short man complex kama Magufuli. Ukiangalia historia, madikteta wengi ni wafupi.
Urefu unafaida gani kwa taifa kama watu hawana maendeleo. Acha kuwaza majivu.
 
Ni kweli kabisa,
Na ni too late hawa jamaa wameshaingia ndani kabisa na wengi wana uraia na biashara kubwa kubwa
Nakumbuka kuna mmoja aluwahi hata kuwa mkurugenzi wa sehemu nyeti na si raia,
Ila baadae walimtoa na akaomba uraia, tena ni ke
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Nyerere ndo aliyechora mpaka wa kutenganisha Rwanda na Tanzania?
 
Iyo aya ya 3, mkuu hao wa rwanda wana bakwa kama kweli wana amini huo upuuzi ...kwanza sio sahihi

Maana kama ni hivyo wanataka kuijumuisha na kagera, basi waka kwapue na eneo la M7 ambako nako jamii ya wahaya ndio wana unasaba kabisaaa na jamii ya waganda waishio kusini ...kutoka bukoba mpaka mtukula ni almost 6 km kama sikosei...

Na pia hii tabia ya kukahofia hako kanchi sasa ifike tamati jaman .....Tz sio DRC ...hako kanchi unafikiri kenyewe hakajui wapi pa kuchokoza na wapi pakutochokoza ..... Ifahamike Drc wana changamoto nyingine pia ambazo zina kuza na kidhoorotesha amani nchini kwao ....

Ila umetoa alert nzuri na amini vyombo vyetu vipo makin muda wote
Tatizo siyo kama unavyo fikiri...tatizo wakiingia kwenye system hapo tutakuwa hatuna ujanja wewe tazama waarabu wachache tu hapa tz wameingia kwenye system nchi ipo mikononi mwao watz weusi atusikilizwi hadi wao watake ...hata mzozo wa ngorongoro unao endelea wamasai wakitaka wabaki ngorongoro basi wamtafute Rostam azizi au GSM wamwombe awakubalie kubaki ngorongoro ..wao wakikubari basi ujue awataondolewa wala kusumbuliwa ...hivyo kupandikiza watu kwenye system ni hatari sana ...ndiyo maana hata USA ilikuwa inalia kuhusu urussi kuingia kwenye system yao hadi kufanikiwa kumweka trump kipindikile najua mlisikia kelele nyingi hadi sasa bado zipo kuwa Trump nyuma yake yupo mrusi
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Yaani wewe unagundua leo? Mchg. Dr. C. Mtikila alishatupa alert siku nyingi sana nyuma. Na system yao ilim-delete ili asiendelee kuleta madhara upande wao.
Usione Geita, Kahama, Katoro na Mwanza kuna nawiri ukadhani ni kwa nguvu za kidumu cha ccm.
In short ni kwamba hadi kwenye usalama wa nchi, bungeni, mahakamani, n.k tayari jamaa wapo!
Tatizo lenu ccm mnaendesha nchi mkishindana na watanzanja wenzenu badala ya kuimarisha mifumo ya nchi!
 
Inawezekana hiyo M23 ni mali ya Kagame siyo?
Wanasema hivyo, hata sasa si Congo kama wanalalamika kuwa Rwanda wanafadhili vikundi vya mtindo huo!

Kama JW waliingia wakawapiga, wakakimbilia kujificha mpakani mwa Rwanda na Congo, na wengine kukimbilia Uganda, kwanini hizi nchi mbili hazikutaka kujigusa, angalau tu kuwafukuza warudi walikotoka?

Uganda na Rwanda wamejenga Smelter kubwa kabisa Africa, hawana dhahabu hawa.
 
Acha uoga dogo huwezi kuwazuia wafanyabiashara kuwekeza eti kisa wamezaliwa na baba mwenye pua ndefu

Mbona kuna wakenya wamewekeza huko Arusha,Tarime & Moshi je na wao ni majasusi,wanakuwa wawekezaji wakiongea kihindi ila wakisema kiha kilichochangamka mnawaita wanyarwanda
 
Ungeonekana mzalendo kama ungetaja viwanda au uwekezaji uo... Upo sehemu gani na wamiliki akina nani ili mamlaka husika zijue wap pa kuanzia...

Tofauti na hapo ulichoandika inakuwa unafki
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo

Karibu Kahama Magic 101 tuburudike weekend ndugu!
 
Hii ni hatari mno kwa usalama wa nchi yetu!

Majasusi wengi wa Rwanda wanawekeza kwenye nyanja mbalimbali kuanzia kilimo,viwanda na biashara mbalimbali kwenye maeneo niliyoyataja hapo.

Ifahamike, sera na wanahistoria wa Rwanda wanatambua eneo lote kuanzia Kagera, Kigoma, Geita na hata Kahama kuishia pale Isaka ni eneo waliloporwa na hayati Mwalimu Nyerere jambo ambalo si la kweli.

Vyombo vya dola vya Tanzania yetu shtukeni-Rwanda si rafiki mwema hata kidogo!

Hata sasa vita anavyovifadhili huko mashariki ya Congo ni kwa sababu ya tamaa ya eneo lile ili wajitanue na wanyakue Kivu belt yote kwa maslahi ya madini.

Tanzania itambue Rwanda haipaswi kuchekewa hata kidogo
Mm nadhani anawataka kumbe ni Majungu!!
 
Wapo na wengine ni mawaziri katika jamuhuri yetu, asili yake ni huko huko kwa PK wamewekeza nyanja nyingi tuu madini,burudani, usafirishaji.

kifupi walijipanga muda mrefu tuu wengine walikuwa watumishi kwenye majeshi yao na wakaja huku kujifanya wafanyabishara.
Mbona hao wamejaa serikalini mpaka elimu ya juu wapo pia ktk mashirika ya umma wamejaa kwani shida ni nn?
 
Ni kweli kabisa,
Na ni too late hawa jamaa wameshaingia ndani kabisa na wengi wana uraia na biashara kubwa kubwa
Nakumbuka kuna mmoja aluwahi hata kuwa mkurugenzi wa sehemu nyeti na si raia,
Ila baadae walimtoa na akaomba uraia, tena ni ke
Unataka kusema ndo wakinga au wachaga maana ndo wenye biashara kubwakubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani mama angenipa tender yakuanzisha jeshi binafsi kama la Putin Wagner. Tunashuka Kigali na miamvuli at night under cover of darkness with highlytech sophisticated assault weapons na kutandanza mkong'oto wa aina yake na baada ya hapo tunabadilisha regime na Rwanda inakuwa mpya na upuuz hautaendelea tena East Africa na maziwa makuu kwa jumla.
Maziwa makuu unayajua wewe gringo? Funny ain’t no funny tho!!!!🤣
 
Neno Uwekezaji lisitumiwe kama kichaka cha kujificha wageni.
Mwekezaji kutoka nje anatakiwa awe na mtaji mkubwa ambao wazawa walio wengi hawana.
Ni makosa makubwa sana kuruhusu shughuli za kiuchumi ndogo ndogo zisizo na mtaji wa mabilioni kufanywa na wageni (labda kama ni wafanyakazi wataalamu).
 
Back
Top Bottom