- Thread starter
- #41
Mkuu ebu fafanua kidogo mbona ni mcha Mungu sn yaan ibada ninkila jpili mwisho wa mwez na ckukuu zote lazima awe kanisan kuna siku huwa wanaalikwa nakanisa mengine na ni mwanakwaya mzur snHao madem ni hatari sana, wanasumbua hata ukioa na wana roho ngumu kushinda jiwe na niwabinafsi sana