Hataki ninyoe

Hataki ninyoe

Jf bwana -- baadhi ya watu ni waongo mpaka wana jisahau ....

Mtoa mada juzi tu ' ulianzisha topic na kwenye statement ulidai kwamba haupo kwenye mahusiano na hauhitaji kuwa kwenye mahusiano kwa sasa umeamua kupumzika mpaka baadhi ya mambo yako utakapo kuwa umeyaweka sawa ....

Leo unaleta thread --kumbe una bwana ambaye mmezoeana mpaka mavu.... mnanyoana !!!!!!
Anachangamsha genge.
Alafu issue ya kitoto anaomba ushauri
 
Pole sana best. Kama kuna watu hawapendi vichaka, basi mie mmojawapo. Mzuka wote unakata nikiona kichaka. Bora mazingira yawe safi muda wote

Sikuzote nimeamini hivyo mpk alipojitokeza wa mzuka tofauti mkuu
 
Wakuu ni kawaida kusafishwa maeneo na mwenzi wako?? maana huyu mkuu simuelewi hataki kabisa ninyoe anasema zikizidi yeye ndoataona azinyoe na biti juu nikinyoa ntamweleza nilikipeleka kwa nani kipochi manyoa staki kumkwaza ila kukaa na v*** sijazoea....
Huyo Mimi kabisa lazima kuwe u tofaut kati ya sura na k
 
Kwani sheria ya kutunza mazingira inasemaje,yawezekana yupo sahihi
 
Back
Top Bottom