Hataki nimpe lifti mdogo wake

Hataki nimpe lifti mdogo wake

Mke ameshagundua kuna dalili za kuchepukaa... Mtafutie nyumba akapange tuu. Maisha yaendelee
 
Uwe unachelewa kwenda kazini ili yeye awahi au wewe amka saa kumi alfajiri kwenda kazini. Au mtaftie nyumba akapange ndio nandhan suluhisho
 
Ulicho nacho kichwani wife wako ameishakiona zamani na huenda anamjua rafiki yake huwa anatembea chupi ikiwa magotini.
Umetoa sifa nyingi za huyo dada bila kumsifia mkeo bado unataka upewe uhuru.

Sisi wanaume tunajuana bana ipo siku hiyo gari itakuwa chumba cha faragha na utamvua nguo humohumo kwa kumtengenezea mazingira maana najua utaogopa kumwambia. Kubali kuwa wife kashtukia
 
Umefika wakat wa gari kuharibika

Mwambie gari imepata tatizo hivyo.
Ww anza kutumia daladala au tax au bajaj.
Kwa kutumia hela za mkeo za saluni, hela za nguo.
 
Wana jf habari za blue monday
Kuna rafiki wa wife amehamishiwa hapa dar kikazi, amefikia kwetu wakati akitafuta pa kuishi wamekubaliana na wife akae hapa kwetu mwezi

Ana wiki moja tangu ameripoti kazini kwake, hiyo wiki yote ni mm ndo nimekua nikiondoka nae asubuhi kwenda kazini maana ofisi zetu wote zipo mjini,

Tangu ijumaa wife amenishangaza kunizuia kumbeba huyu mgeni wetu kwenda kazini anataka nimpitishe kwenye dala dala
Sasa mm niliemtuma akubali kumpokea?

Hivi ntaanzaje kumkatalia lifti wakati nimembeba wiki nzima?
Nimepewa ultimatum kwamba tukirudi wote jioni ntaona
Sasa hii wakuu si kutafuta ugomvi bure?

Siku zote anadai hawezi kuleta marafiki zake wazuri nyumbani labda wa kuja na kuondoka sasa imekuaje huyu kampokea?
Na kwa kweli huyu mtoto kaumbika haswa!! Yaani ni mzuuuri ajabu, nyonyo kama embe bolibo ananukia marashi wakati wote, yaani kwenye gari hata akishuka harufu ya manukato inabaki kutwa nzima

Juzi tumerudi home wife ananivaa chumbani kwamba tumetoka wapi anauliza mbona nakua marashi ya yule dada kumbe wapi hatujafanya chochote, tunaheshimiana mno, anajiheshimu sana huyu binti, ananiamkia asubuhi jioni, tena kwa magoti

Yaani anaemmiliki huyu binti anafaidi kweli

Wakuu nimuhakikishieje wife kwamba hakuna madhara yoyote yanayoweza kutokea anielewe?

Tunabishana usiku chumbani hadi nahisi yule dada anaweza kutusikia

Wakuu kuna mwenye suluhisho hapa nifanyeje?
Ananihisi vibaya kumbe mm sina wazo hilo, nilikua na mchepuko mke wa rafiki yangu alieachishwa kazi ila nimetubu na kuachana nao kutokana na kushindwa gharama za uendeshaji
Mdau endelea kumbeba,huyo ni Mgeni wenu
 
BADILI TABIA WW KWELI NI KIBOKO AU KITEMBO KABISAAA😀😀😀😀:thumbup::thumbup:😉
 
Suluhisho ni dogo tu....
Asubuhi wakati mnaenda kazini unampakia mkeo na huyo binti hadi utakapomshusha huyo dada alafu unampa wife wako sh 400 anapanda zake daladala hadi nyumbani...
Jioni ikifika mida ya kutoka kazini anakuja Tena na daladala kukufuata... akipanda unampitia huyo binti mnarudi home... HAPO AKIONGEA TENA HUYO MKEO ATAKUWA MCHAWI..
 
Atavunja ndoa yako au atakuharibia mke, yaani mke wako akigundua unakula na yeye anaanza kuliwa na wauza nyama /vijana wa kitaa!
Chagua moja faster
 
mkuu acha wife akupige pin tu kwa kuwa leo umeleta thread umemuona shemeji anakojoa kwa bahati mbaya umemtamani nadhani mkeo anakujua kuliko unavyojieleza.
 
Kwa hiyo hapo kwako una mizigo vigoli wawili,mmoja ni huyu rafiki wa Mke wako na mwingine ni yule mdogo wa Mke wako?
 
Back
Top Bottom