Wanawake "kabila" hiyo ndiyo waliojaa ulimwengu wa sasa. Wanapenda pesa rahisi, hawapendi mtu na hawapendi kujenga mazingira ya kutafuta pesa.
Hivi huyo mwanamke ana umri gani kuendelea na foolish age kichwani mwake muda wote?
Kweli M/ Mungu katunyima sana busara na miujanja.
Inawezekanaje mwanamke mchunaji uweze kuishi naye kinyumba mwaka mzima usigundue hila zake!
Authentication za mtu anayekupenda kwa dhati ama kinyume chake mbona zipo wazi?.
Halafu hilo malaya halijasoma kuelimika?
Sura cute ya mtoto lazima ikopi na kupest toka kwa wazazi wake?
Kama anakutaka mbegu zako, tafuta wakili msainishe mkataba.