Mtagombna bure mkuu,lazma mwisho wa sku udai haki yako(damu yako)achana nae
Mkuu naona na wewe una masharti yakoAje pm, anataka mimba ngapi? Zisiwe chini ya tatu.
Hahahaha kuna ka ukweli hapaUnaanza oooh mwanaume sio sura, ila sasa pale binti atapofanana na baba yake ndipo utaelewa maharage ni kiungo tu cha kande.