Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,613
Ooh nazeeka vibaya sasa
Pole mkuu. Sio vbya kuchungulia huo upande mara mojamoja
Ooh nazeeka vibaya sasa
PoleMimi Serikali ya CCM ilichonifanya leo ngoja nilie nimegida beer zimegoma
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Duh imekuwaje tenaMimi Serikali ya CCM ilichonifanya leo ngoja nilie nimegida beer zimegoma
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Mimbuzi kuna shamba langu wanataka kunyanga'anya Uzi huu hapa mkuuDuh imekuwaje tena
Pole sana mkuu hii ishu ilifikia wapi?Mimbuzi kuna shamba langu wanataka kunyanga'anya Uzi huu hapa mkuu
2025 Nachagua Andazi, CCM Imenishinda
Wanabodi ngoja leo nideclare interest mnajua Mimi ni CCM Damu yani ukichanja damu yangu ni CCM tu. Lakini sasa CCM wamegusa maslai yangu tena inaniuma Sana nilikuwa Tu nasikia Kwa watu unaweza ukadhulumiwa haki yako. Miaka ya nyuma nilinunua mashamba sehemu cha ajabu na...www.jamiiforums.com
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app