Hata wanaume huingia period


wengi watakuwa period mwezi huu hadi Feb
 

huwa unavaa pad?
 
Aisee! eheee! mshana jr huwa unatumia zana gani ukiwa period? nijuze bana nifungue kagenge ka bidhaa za wanaume walio periodi.
 
Last edited by a moderator:
Wale ambao kila leo hawana hela na wanahasira hiyo "period" yao siipatii picha. Hahaha
 
Hili jambo ni kweli kabisa kuna baba yangu mdogo aliwahi kuingia majini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…