Hata sura simjui, ananiomba hela

Hata sura simjui, ananiomba hela

Habari zenu wana Jf,

Inaanza hivi- kuna mdada aliniomba urafiki facebook nami nikamkubalia kumbe ananijua personally but mie simjui kabisa alinitext punde tu nilipo accept friend request yake ndo mambo yakaanza!

Mdada; Mambo
Mie; Pouwa,mzima wewe?
Mdada; Niko P wangu!
Mie; Pande zipi?
Mdada; Moro wewe je?
Mie; Nami niko Moro
Mdada; Sehemu gani my
Mie; Nikamtajia
Mdada;ooh! Kumbe,una mish gan?
Mie;(Nikamtajia) wewe upo wapi?
Mdada; Akantajia
Baada ya hapo akaendelea...
Mdada; Wifi mzima
Mie; Sina mpenzi
Mdada; Yani ukinitumia nauli tu mie nakuja
Mie; Mmmh...sh.ngap?
Mdada; 5000
Mie; Kweli utakuja?
Mdada; Kweli
Mie; Pouwa,iwe lini?
Mdada; Sitaki utakayo penda
Mie; Poa weekend hii
Mdada; Hapo hapo akataka namba yangu ya simu na nikampa tukaendelea kuchat

Juzi kaniomba vocha nikampa,leo kanambia "my napenda kuongea nawe uck kucha but naomba 7000 fund anitengenezee simu yangu" nikamjibu hata hatujuan vzr pia ktk FB yako kuna picha moja mie bado sikujui nitaanzaje kukusaidia kiivyo? Akajibu my tatizo ni wewe 2 mie hata sasa nko tayari kuja.

Kiukweli ni mzuri sana! nimfanyaje?

Hahahahha popo huyo acha akuchune
 
v
hivi vidada njaa ndio inavisumbua vinajitahidi kuweka picha nzuri katika profile zao, ukitaka kujua sio za kwao mwambie muwasiliane FB atumie webcam, skype atazingua tu, kuna kamoja kanaitwa Kwela kamchape kaliniletea hako ka mchezo
 
kuna jamaa anajifanya binti anaitwa nasma fb ana picha moja tu alitaka kunilia hela yangu hivyo hivyo anaomba vijipesa vidogo nikamshitukia timeline yake ana picha moja tu habadilishi.
 
Nyinyi vipi? Mpira wa kona, hakuna mchezaji hata mmoja ndani ya box? Dogo kokota mpira Kama Ronaldo au wewe punga? 😳😳😳
 
Mtumie pesa bana sura si utaiona tu kwani inahama
afu huyo anaepiga mzinga wa buku 5 ni form one au?
 
Tukueleweje wewe?Ulijuaje ni mzuri?Hebu rejea nukuu kutoka kwako.The boss hebu nisaidie kupitia majibu kwa uyu jamaa

Kichwa cha bhabari ...Hata sura simjui ananiomba hela alafu unatuletea swaga eti...
Kiukweli ni mzuri sana! nimfanyaje?
[/QUOTE]
 
Tukueleweje wewe?Ulijuaje ni mzuri?Hebu rejea nukuu kutoka kwako.The boss hebu nisaidie kupitia majibu kwa uyu jamaa

Kichwa cha bhabari ...Hata sura simjui ananiomba hela alafu unatuletea swaga eti...
Kiukweli ni mzuri sana! nimfanyaje?
[/QUOTE]

picha yake moja aliyoweka facebook ndio nzuuri but sijamuona live!
 
Ushasema at kwa sura humjui ila unamaliza kwa kusema, kiukweli ni mzuri sana!! Kwa mtindo huo itabidi tu ukatwe maana hakuna namna..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom