Hata sura simjui, ananiomba hela

Hata sura simjui, ananiomba hela

Umesema unafanya kazi, sasa shs7000 ni kubwa kwa mtumishi???? Ww mtumie tu hiyo hela
 
daah! hata simuelewi fb kaweka picha moja na nikimpigia simu hapokei anasema imeharibika maiki (mic)
:what::what: Ishara Tosha Ni Muhuni....Achana Nae Au Mwambie Aje Muonane.......Mwambie Unahitaji Kumuona.......Au Akujege Mkutanege Umpe!! Mweeheeeee.....🙄🙄
 
What the hell....!!?
Tapeli hiloo. . . . .

Tapeli sio lazima liwe baunsa na misuli mikubwaaa hata katoto kadogo kanaweza kukutapeli!
 
Wapenda nyapu wanatapeliwa sana kwenye mitandao
 
Khaa!! raha jipe menyewe bana. Acha Ubahili
pray2.gif
 
dah hilo tunaita zari la mentali mwana we mtumie tu anakuja huyo.
 
nataka nimtupilie mbali ila ananing'ang'ania kweli, ila nitajua cha kufanya
 
mkuu usiingie choo cha kike, mimi nimeshalizwa na kademu ka facebook kalinipiga mizinga....mkuu usijaribu hata kidogo, na mimi kaliniambia maic mbovu tukawa tunatumia tu sms, yaan ni sitory ndefu . MKUU NPM NAMBA YAKE AU JINA LAKE LA FACEBOO NILINGANISHE NA HII NAMBA NILIYO NAO.
 
Habari zenu wana Jf,

Inaanza hivi- kuna mdada aliniomba urafiki facebook nami nikamkubalia kumbe ananijua personally but mie simjui kabisa alinitext punde tu nilipo accept friend request yake ndo mambo yakaanza!

Mdada; Mambo
Mie; Pouwa,mzima wewe?
Mdada; Niko P wangu!
Mie; Pande zipi?
Mdada; Moro wewe je?
Mie; Nami niko Moro
Mdada; Sehemu gani my
Mie; Nikamtajia
Mdada;ooh! Kumbe,una mish gan?
Mie;(Nikamtajia) wewe upo wapi?
Mdada; Akantajia
Baada ya hapo akaendelea...
Mdada; Wifi mzima
Mie; Sina mpenzi
Mdada; Yani ukinitumia nauli tu mie nakuja
Mie; Mmmh...sh.ngap?
Mdada; 5000
Mie; Kweli utakuja?
Mdada; Kweli
Mie; Pouwa,iwe lini?
Mdada; Sitaki utakayo penda
Mie; Poa weekend hii
Mdada; Hapo hapo akataka namba yangu ya simu na nikampa tukaendelea kuchat

Juzi kaniomba vocha nikampa,leo kanambia "my napenda kuongea nawe uck kucha but naomba 7000 fund anitengenezee simu yangu" nikamjibu hata hatujuan vzr pia ktk FB yako kuna picha moja mie bado sikujui nitaanzaje kukusaidia kiivyo? Akajibu my tatizo ni wewe 2 mie hata sasa nko tayari kuja.

Kiukweli ni mzuri sana! nimfanyaje?

Fuata asali ukaliwe na nyuki!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom