Hata sura simjui, ananiomba hela

Hata sura simjui, ananiomba hela

Africa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
1,504
Reaction score
2,275
Habari zenu wana Jf,

Inaanza hivi- kuna mdada aliniomba urafiki facebook nami nikamkubalia kumbe ananijua personally but mie simjui kabisa alinitext punde tu nilipo accept friend request yake ndo mambo yakaanza!

Mdada; Mambo
Mie; Pouwa,mzima wewe?
Mdada; Niko P wangu!
Mie; Pande zipi?
Mdada; Moro wewe je?
Mie; Nami niko Moro
Mdada; Sehemu gani my
Mie; Nikamtajia
Mdada;ooh! Kumbe,una mish gan?
Mie;(Nikamtajia) wewe upo wapi?
Mdada; Akantajia
Baada ya hapo akaendelea...
Mdada; Wifi mzima
Mie; Sina mpenzi
Mdada; Yani ukinitumia nauli tu mie nakuja
Mie; Mmmh...sh.ngap?
Mdada; 5000
Mie; Kweli utakuja?
Mdada; Kweli
Mie; Pouwa,iwe lini?
Mdada; Sitaki utakayo penda
Mie; Poa weekend hii
Mdada; Hapo hapo akataka namba yangu ya simu na nikampa tukaendelea kuchat

Juzi kaniomba vocha nikampa,leo kanambia "my napenda kuongea nawe uck kucha but naomba 7000 fund anitengenezee simu yangu" nikamjibu hata hatujuan vzr pia ktk FB yako kuna picha moja mie bado sikujui nitaanzaje kukusaidia kiivyo? Akajibu my tatizo ni wewe 2 mie hata sasa nko tayari kuja.

Kiukweli ni mzuri sana! nimfanyaje?
 
  • Thanks
Reactions: Doe
Huyo km si tapeli bc ni aina flan ya malaya..either way she's bad news
 
Anataka kukulia pesa huyo..

Kimbia haraka sana 🏃🏃🏃🏃🏃
 
Unafanya nin JF shule zimeshafungua.?
 
Sikia do go hiyo pic aloweka sio yake mwambie akija ndio utampa
 
daah! hata simuelewi fb kaweka picha moja na nikimpigia simu hapokei anasema imeharibika maiki (mic)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom