Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,239
- 12,756
Siku zote ukitaka kuhojiwa hakikisha unatumia lugha yako mama. Usijidai kutumia lugha usiyozaliwa nayo. Utashindwa na kuabika. Ndiyo yaliyompata Mruma.
Siku zote ukitaka kuhojiwa hakikisha unatumia lugha yako mama. Usijidai kutumia lugha usiyozaliwa nayo. Utashindwa na kuabika. Ndiyo yaliyompata Mruma.
Siku zote ukitaka kuhojiwa hakikisha unatumia lugha yako mama. Usijidai kutumia lugha usiyozaliwa nayo. Utashindwa na kuabika. Ndiyo yaliyompata Mruma.
Lakini huwezi kubanwa na kugaragazwa kama alivyofanyiwa Mruma.Hata uongee kwa lugha yako, kama kazi yako ni kutetea uongo kuwa ukweli utapuyanga tu.
Lakini huwezi kubanwa na kugaragazwa kama alivyofanyiwa Mruma.
... Ras Simba yupo hana kazi za kufanya walishindwa nini kwenda naye? Soma hiyo barua toka ofisini kwa Prof. Mruma enzi hizo kwenda wa wawekezaji ambao leo wanamdhalilisha mahakamani hiyo barua ikiwa sehemu ya vielelezo! Soma complimentary close halafu then amua umakini wa watendaji wetu;Hahahaha awepe mkalimani DJ MARCK ACHECHE au siyo?