Hata mkihairisha usafi uko palepale siku hiyo tuungane kusafisha jiji letu

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,967
22,161
Sisi wana umoja wa usafi Dar es Salaam naomba tuweke wazi Inasemekana kuna chama kilipanga maandamano kwa bahati mbaya ikagongana na siku ya usafi

tunaomba tuwajulishe hata wakihairisha sisi usafi uko pale pale na tunawakaribisha kuwa pamoja usafi n afya

Mungu ibariki Tanzania na watu wake
 
Back
Top Bottom