GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,848
- 109,554
KUHUSU KUNG’ATUKA KWA JPM
“ Iweje Rais Magufuli aende kinyume na wosia wa Baba wa Taifa na warithi wake. Hili la kuongeza muda, Rais Magufuli hawezi kukubali na hata CCM haiwezi kukubali…Rais Magufuli hata akishinda kwa 100%, baada ya muda wa muhula wa pili kuisha, hata ongeza hata siku moja. ” - Dkt. Bashiru Ally akizungumza na Tido Mhando wa Azam TV.
“ Iweje Rais Magufuli aende kinyume na wosia wa Baba wa Taifa na warithi wake. Hili la kuongeza muda, Rais Magufuli hawezi kukubali na hata CCM haiwezi kukubali…Rais Magufuli hata akishinda kwa 100%, baada ya muda wa muhula wa pili kuisha, hata ongeza hata siku moja. ” - Dkt. Bashiru Ally akizungumza na Tido Mhando wa Azam TV.