Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,017
- 2,649
Wewe acha ujinga,Katika nchi yetu hii tulishajijengea utamaduni wa kukosa na kukosolewa, hii ni kitokana na ukweli kuwa hakuna binadamu ambaye yupo sahihi kwa asilimia 100, inasikitisha sana kuona kuwa kuna juhudi za maksudi za kukingiana kifua kwa baadhi ya viongozi na kunawengine huku wengine wakiandamwa, kudhalilishwa na hata kuwekwa kizuizini. Sina uhakika kama hii ndiyo ile Tanzania ya Mwalimu Nyerere. Hii ni kitu kingine. Inasikitisha sana.
hata wewe hapa unafanya umbeaNdio! Watz wote mnaoshabikia umbea umbea ni wajinga!
Usirudie KOSA 2020Hapa inabidi turudi kwenye uchaguzi tu hakuna namna, tulikosea sana kumpa nchi mtu huyu.....sasa anaendesha kama familia
Pamoja na wewe huku unafanya nini?Ndio! Watz wote mnaoshabikia umbea umbea ni wajinga!
alipiga push up kuomba kura .. time will tellBwana yule hawezi kuwa na akiba ya maneno daima, anendesha nchi kama anaendesha familia yake....anavimbishia misuli wapiga kura wake kashasahau kama alikua anapiga hadi magoti kuomba kura....hakika madaraka ni kilevi
Ulimpigia Kura? wanaoendelea kulalamika ni wale wale ambao hawakumpigia kura.Come 2020 kura tutampa.Hapa inabidi turudi kwenye uchaguzi tu hakuna namna, tulikosea sana kumpa nchi mtu huyu.....sasa anaendesha kama familia
Yanayosemwa yapo, kama hayapo ipo siku yataonekana...kuna kitu kinaendelea kati ya mkuu na mteule wake.Kichwa kinaniuma ile mbaya juu ya huyu mtu anayekingiwa kifua, nilimpenda mwanzo na kuhisi anaonewa juu ya maneno yaliyokua yanasambaa mitandaoni but for this time, kwa kuvamia clouds media kimenifanya kuogopa na kuona kua sasa kuna balaa zito juu ya wanyonge na wenye kujitafutia riziki, why mh,Rais anamtetea na kudharau yale aliyofanya!?
Si em mbele kwa mbeleNchi yake mwenyewe hataki kusikia la mtu..anafanya anavyotaka yeye.
trueKwa kweli kwa sasa watanzania tuna wakati mgumu sana..
Huyu bwana ni confirmed KICHAA.
We kura utampa hata hujakatazwa, lakini binafsi never ever siwezi kumpa kura yangu tena bwana huyu, 2020 unasema utampa kura tc okay mind you kuna kifo pia, ugonjwa na mengine mengi usiweke 100% utampa mie sitampa coz hata nikifa kesho kura yangu ntazikwa nayo.Ulimpigia Kura? wanaoendelea kulalamika ni wale wale ambao hawakumpigia kura.Come 2020 kura tutampa.
Hahahahahah nmejikuta nacheka kwa uchunguTulifanya kosa kubwa kumchagua kikojozi akae juu yetu, sasa anaendelea kutukojolea hadi kukuche