simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,699
- 9,591
Kuhoji cheti cha mteule wake ni umbeya ?amesema tunashinda mitandaoni kupost umbea ,ila wambea wakubwa ni wale wanaopenda SHILAWADU
Kuhoji cheti cha mteule wake ni umbeya ?amesema tunashinda mitandaoni kupost umbea ,ila wambea wakubwa ni wale wanaopenda SHILAWADU
nzisheni zile hash tag rc anabeba mitutu kutishia raia maofisini kisha kumfurahisha boss wake aliyekuwa anangoja kipindi cha shilawadu....... wale wa kufungua kesi wafungue tafadhaliI call for a whole week zitawale Profile pictures za kuonyesha kutokukubaliana na maamuzi yaliyojitokeza
Kwa ushahidi alotoa Ruge inatosha kabisa kumfungulia kesiNahisi kwa wapenda ushilawadu tumeshafahamu kuwa mkulu kaamua kumlinda makonda kwanguvu zake zote na akili zake zote.
Hebu tukutane hapa tushauliane juu la kufanya. Either tukubaliane na matokeo au aluta continua.
Usijali mkuu, katika uzima kura ipo, Ila ili la Makonda ni Vita hii Mkuu, vita ni vita. Sio rahisi kumtosa dogo kwa wakati huu, mkuu usome mchezo vizuri utaona jambo. Sio ushabiki pekee, Ni kweli dogo amelikoroga lakini huu sio wakati muafaka.We kura utampa hata hujakatazwa, lakini binafsi never ever siwezi kumpa kura yangu tena bwana huyu, 2020 unasema utampa kura tc okay mind you kuna kifo pia, ugonjwa na mengine mengi usiweke 100% utampa mie sitampa coz hata nikifa kesho kura yangu ntazikwa nayo.
Imetumika kwa Ben sikuona matunda.I call for a whole week zitawale Profile pictures za kuonyesha kutokukubaliana na maamuzi yaliyojitokeza
Nahisi kwa wapenda ushilawadu tumeshafahamu kuwa mkulu kaamua kumlinda makonda kwanguvu zake zote na akili zake zote.
Hebu tukutane hapa tushauliane juu la kufanya. Either tukubaliane na matokeo au aluta continua.
Milioni tano unazo?Ngoja nkatafute kiroba kwanza
Kasahau kuwa hata bashite alivamia kituo cha habari kwa sababu ya kutaka kueneza umbeaamesema tunashinda mitandaoni kupost umbea ,ila wambea wakubwa ni wale wanaopenda SHILAWADU