Hata mambo ya msingi tusihoji?

Hata mambo ya msingi tusihoji?

RAISI WETU ATAMBUE KUNA KIFO, HATUTAISHI MILELE...KIBURI NA KUTETEANA VINA MWISHO.
 
Nimesikiliza JPM leo katika uzinduzi wa fly over ubungo, anadai ye ni raisi anayejiamini, fomu alienda kuchukua mwenyewe na hawezi kupangiwa nini cha kufanya, swali langu kwake ni je hizo kura alijipigia yeye akawa raisi, kwanini watanzania kama kuna uonevu asiwasikilize, nahisi kuna viongozi wanaodhani wataishi milele nawakumbusha KIFO kipo, ujuaji mwisho wake ni aibu....ngoja tuone hata huyo unayemkingia kifua mwisho wake utakuaje.....wangapi wamefukuzwa kazi na kuachishwa masomo kisa hawana vyeti leo hii raisi ndio angeuka anakuwa mtetezi wa swala hili kwa mtu ambae hana vyeti.....daaaaah

Nimeipenda hiyo ya kusema HAWEZI KUPANGIWA NINI CHA KUFANYA!

Akasome Ibara ya 4 ya Katiba. Hiyo hiyo iliyopo.
 
Ni ngumu kuamini yale maneno ya leo UBUNGO...basi sawa.
 
Inaumiza sana kuona waajiriwa wàsiokua na vyeti kiuhalali kama mkuu wa mkoa kufukuzwa na kunyimwa mafao kabisa lakini yeye mkuu Wa mkoa anakingiwa kifua sijui anampa nini mheshimiwa raisi mpaka anapata ujasiri wa kufanya vitendo anavyovifanya.....
Raisi mwenyewe hajafanya hafla yoyote ya kumaliza mwaka yeye mkuu wa mkoa ameyapatia wapi haya???
Inaonyesha kabisa hapa kabisa hapa kuna wananchi na wenye nchi aya ngoja tuangalie tuone mwisho wake
 
Watanzania ni Wajinga Tena sio Wajinga tu ni Wajinga sana.

Umewahi kuona Wapi Duniani Wasomi wanasimama Hadharani na kusema Kwa tulipofikia tulikuwa tunahitaji Rais Dikteta?

Dr. Mokiwa ni Miongoni kwa Wasomi niliowasikia kwa Masikio yangu akizungumza hayo hadharani!

Miongoni kwa Ujinga Mkubwa Duniani ni kuomba kupata kitu Fulani na ukipatiwa kwa kadri ya Maombi yako unaanza kukilalamikia!
 
amesema tunashinda mitandaoni kupost umbea ,ila wambea wakubwa ni wale wanaopenda SHILAWADU
Ye kajuaje kama tunashinda mitandaon kama nae hashindi kusoma kinachoandikwa mitandaon kweli nyani hajion malinda yake
 

Nimesikiliza JPM leo katika uzinduzi wa fly over ubungo, anadai ye ni raisi anayejiamini, fomu alienda kuchukua mwenyewe na hawezi kupangiwa nini cha kufanya, swali langu kwake ni je hizo kura alijipigia yeye akawa raisi, kwanini watanzania kama kuna uonevu asiwasikilize, nahisi kuna viongozi wanaodhani wataishi milele nawakumbusha KIFO kipo, ujuaji mwisho wake ni aibu....ngoja tuone hata huyo unayemkingia kifua mwisho wake utakuaje.....wangapi wamefukuzwa kazi na kuachishwa masomo kisa hawana vyeti leo hii raisi ndio angeuka anakuwa mtetezi wa swala hili kwa mtu ambae hana vyeti.....daaaaah
 
ninapata shida sana kuamini kuwa watanzania tunaweza kuongozwa na akili ya mtu mmoja tena wa aina hii. wakati sisi wengine tunaamini tunaakili kuliko yeye. kauli ya msigwa siku moja kwamba akili ndogo kuongoza akili kubwa na shida sana.
 
ajifunze kuweka akiba ya maneno
Bwana yule hawezi kuwa na akiba ya maneno daima, anendesha nchi kama anaendesha familia yake....anavimbishia misuli wapiga kura wake kashasahau kama alikua anapiga hadi magoti kuomba kura....hakika madaraka ni kilevi
 
Ukiwa na BABA MWEHU humchukii mkuu vumilia. Maana aliomba aombewe kaombewa wee maombi yanadunda.
 
Kichwa kinaniuma ile mbaya juu ya huyu mtu anayekingiwa kifua, nilimpenda mwanzo na kuhisi anaonewa juu ya maneno yaliyokua yanasambaa mitandaoni but for this time, kwa kuvamia clouds media kimenifanya kuogopa na kuona kua sasa kuna balaa zito juu ya wanyonge na wenye kujitafutia riziki, why mh,Rais anamtetea na kudharau yale aliyofanya!?
 
Back
Top Bottom