Hata leo pia nimejaa majonzi tele

Hata leo pia nimejaa majonzi tele

Unaliona dogo? Kalale madam, ngoja sie tujaribu kumliwaza huyo kijana wetu pepo aondoke.

dogo sanaaaaa tatizo madogo wakimaliza chuo mwezi huo huo wanawaza kuwa mahr unicef wana ndoto za ajabu ajabu high expectaction wakirudi mtaani wakikutana na real life wanakimbilia kutishia kujiua,tukirudi kwenye gharama za maisha hili ni tatizo la nchi nzima vitu vimepanda kuanzia vyakula mpaka co.ndom kwa hiho wote tukifikiria kujiua nchi itabaki na nani??
 
Pole sana ndugu...tubu hiyo dhambi unayotamani kuifanya kwa dhati

Omba Mungu kwa imani yako naamini atakusaidia
 
Si lazima uwe ushauri wako na kama huna ushauri mzuri wa kujenga bali kubomoa basi ni bora kukaa kimya. Nadhani umeshasikia watu waliojiua kwa sababu mbali mbali ikiwemo ugumu wa maisha. Sasa mtu anapokuja hapa kutafuta msaada wa matatizo yake yanayomsibu humsaidii lolote pale unapoandika kwamba akijiua atasaidia kupunguza jam. Kumbuka matatizo ya binadamu hayachagui leo kwake kesho kwako. Sijui utasikiaje pale unapokuja hapa kuomba ushauri wa namna ya kupambana na matatizo yako halafu watu wakwambie katafute jengo lenye ghorofa nyingi kisha ujirushe na hivyo kumalizana na matatizo yanayokukabili. Sioni nini ambacho hakieleweki katika aliyoyaandika huyu muanzisha hii thread.

^^
Nachojua mimi BAK
wewe ni mwanaJF uliye makini,mwenye hekima,uliyejawa ufahamu wa mambo mengi na ndio maana kwa namna moja au nyingine wewe ni kama mwalimu kwangu niwapo jukwaani.
Unaelewa vema kuwa ukiona mmoja ana hekima ujue kuna --------,,
Una hekima mimi --------,, sasa ni suala rahisi sana..
-------- huropoka (ie what I did) bali mwenye hekima kinywa chake hujenga (i.e what you did)
Ni jambo rahisi tu la wewe kumwambia mleta mada kuwa ushauri wa Himidini haufai.
^^
^^
 
Last edited by a moderator:
wewe una kazi pamoja na maisha mazuri na ndo maana hufikirii hayo,unajua daktari anavyoambiwa na mgonjwa kwamba sindano aliyomchoma inauma hawez elewa maumiv yanakuwaje,cku akija kuugua na yeye akachomwa sindano ndo hapo hupata somo na kujua nini maana ya maumiv,mungu akubariki

aliyekuambia mie nina kazi na maisha mazuri nani???
Dogo jipange upya hayo maisha kila mtu anayapitia ajira zipo taratibu zitapatikana si kama unavyotaka wewe gharama za maisha ni tatizo la nchi nzima.
 
unataka kufaa...!?haya wacha sisi tuendelee Kuwapo mpaka mola aseme basi kwa Wakati wakila mmoja aliyempingia ...
 
aliyekuambia mie nina kazi na maisha mazuri nani???
Dogo jipange upya hayo maisha kila mtu anayapitia ajira zipo taratibu zitapatikana si kama unavyotaka wewe gharama za maisha ni tatizo la nchi nzima.

nakushukuru
 
Mkuu watu wote huropoka hapa JF hata mie nimewahi kuropoka na kuwakosea watu wakaniambia hadharani BAK umetukosea nikarudi kusoma nilichoandika na kweli nikakubaliana nao kama nimewakosea na kuwaomba radhi si kwa PM bali hadharani. Panapokuja maswala ya mtu kutaka kujiua inabidi tufikirie mara mbili mbili kabla ya kuandika kile tunachofikiria kuandika....labda kwa maoni yako ushauri wako kama tunaweza kuuita ni ushauri, wa kujiua kwa sababu atasaidia kupunguza jam huoni kama una walakini.

Usiku Mwema


^^
Nachojua mimi BAK
wewe ni mwanaJF uliye makini,mwenye hekima,uliyejawa ufahamu wa mambo mengi na ndio maana kwa namna moja au nyingine wewe ni kama mwalimu kwangu niwapo jukwaani.
Unaelewa vema kuwa ukiona mmoja ana hekima ujue kuna --------,,
Una hekima mimi --------,, sasa ni suala rahisi sana..
-------- huropoka (ie what I did) bali mwenye hekima kinywa chake hujenga (i.e what you did)
Ni jambo rahisi tu la wewe kumwambia mleta mada kuwa ushauri wa Himidini haufai.
^^
^^
 
Mkuu watu wote huropoka hapa JF hata mie nimewahi kuropoka na kuwakosea watu wakaniambia hadharani BAK umetukosea nikarudi kusoma nilichoandika na kweli nikakubaliana nao kama nimewakosea na kuwaomba radhi si kwa PM bali hadharani. Panapokuja maswala ya mtu kutaka kujiua inabidi tufikirie mara mbili mbili kabla ya kuandika kile tunachofikiria kuandika....labda kwa maoni yako ushauri wako kama tunaweza kuuita ni ushauri, wa kujiua kwa sababu atasaidia kupunguza jam huoni kama una walakini.

Usiku Mwema

Kama hajaelewa mpaka hapo basi anafanya kusudi.
 
Si lazima uwe ushauri wako na kama huna ushauri mzuri wa kujenga bali kubomoa basi ni bora kukaa kimya. Nadhani umeshasikia watu waliojiua kwa sababu mbali mbali ikiwemo ugumu wa maisha. Sasa mtu anapokuja hapa kutafuta msaada wa matatizo yake yanayomsibu humsaidii lolote pale unapoandika kwamba akijiua atasaidia kupunguza jam. Kumbuka matatizo ya binadamu hayachagui leo kwake kesho kwako. Sijui utasikiaje pale unapokuja hapa kuomba ushauri wa namna ya kupambana na matatizo yako halafu watu wakwambie katafute jengo lenye ghorofa nyingi kisha ujirushe na hivyo kumalizana na matatizo yanayokukabili. Sioni nini ambacho hakieleweki katika aliyoyaandika huyu muanzisha hii thread.

Da pokea like zangu mia nimekupenda buree Watu wengine hapa wanataka tu waone thread za ngono na mapenzi sentive issue kama hii mtu mzima unashangaa anakejeli hujafa hujaumbika.
 
Da pokea like zangu mia nimekupenda buree Watu wengine hapa wanataka tu waone thread za ngono na mapenzi sentive issue kama hii mtu mzima unashangaa anakejeli hujafa hujaumbika.

nashukuru kwa kuwafafanulia,kuna binadamu huwa hawaamin humu duniani kama kuna shda,na pindi zikipiga hodi milangoni mwao akili ndo hukaa sawa!
 
Mkuu watu wote huropoka hapa JF hata mie nimewahi kuropoka na kuwakosea watu wakaniambia hadharani BAK umetukosea nikarudi kusoma nilichoandika na kweli nikakubaliana nao kama nimewakosea na kuwaomba radhi si kwa PM bali hadharani. Panapokuja maswala ya mtu kutaka kujiua inabidi tufikirie mara mbili mbili kabla ya kuandika kile tunachofikiria kuandika....labda kwa maoni yako ushauri wako kama tunaweza kuuita ni ushauri, wa kujiua kwa sababu atasaidia kupunguza jam huoni kama una walakini.

Usiku Mwema

^^
Naombeni radhi pale nilipowakwaza ila unapoleta mada jieleze vizuri si kila mmoja ana akili za kujua umepatwa nini.Kuna wengine humu hatuna vipaji kama vya wenzetu,,
Garbage out garbage in
..
BAK na kundi lako ninaposhauri jambo ni bora ukariport abuse! Ili vilaza kama mimi wajifunze.
You need perspective tolerance no matter how brave you are!
Usiku Mwema pia
^^
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom