BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Endelea na moyo huo huo Mkuu usikate tamaa na maamuzi ya kujiua hayahusu kitu Mkuu.
magumu yamekuwa mengi sana,yan kila ninapoamka matatzo yanayonikabili inakuwa afadhali ya jana,lakini si haba umenipa moyo asante kwa hili