Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Tatizo hukumuweka wazi tokea awali kwamba huna hisia naye, ukaona vijisenti vyake vitamu, kaza moyo umwambie mapema kabla hajaja kulipa mahari.....halafu urudi kutuambia kitakachokupata
 
Eli79 huwa napenda kuwa mkweli sana katika maisha.....jamaa nilivyozid kuwa nae naona hatuendani kabisaaa yani,kimawazo na hata kimtizamo kabisaa.
Nilitumia pesa yake sawa lakin nadhani unafahamu swala la ndoa nahis atanipa shida mwenzenu ndio maana nataka niachane nae.
Sasa me naona kabisa mtu simuelewi elewi hata kauli kama mwanaume hana sasa nifanyeje?????Liwalo na liwe bhana
 
Last edited by a moderator:
ubhualangani itolo...mma setano alina maka!

Nilihisi mambo yangejiset lakin kila siku zinavyozidi kwenda ndo nazid kumchukia huyo jamaa....Labda kwakuwa hana kauli ndio maana!!!!!
 
Tatizo hukumuweka wazi tokea awali kwamba huna hisia naye, ukaona vijisenti vyake vitamu, kaza moyo umwambie mapema kabla hajaja kulipa mahari.....halafu urudi kutuambia kitakachokupata

Yap nitakachokifanya ni kuomba Mungu anifungulie hili fumbo...Linanipa shida,kama ndo Mume huyu aliyenipa bas na ijulikane lakin mwenzenu sina hisia nae na hata hana mawazo kama mwanaume!!!!
 
Kabla ya kukushauri ningependa nikuulize!
Mpenzi wako anatambua nini kuhusiana na hili?

Habari zenu JF........
Nina mahusiano ya kawaida tu na kijana mmoja wa kichaga ambaye ni mfanyabiashara yapata miaka 3 sasa.

Anatoa huduma zote kwangu kasoro tu dushelele lake ndo silihitaji maana sina hisia zozote jaman za mapenzi kwake (toka moyoni) ki ukweli.

Kwanzia mwaka jana jamaa anaulizia ndoa me namwambia subir nimalize chuo,kwakweli nataka kumuacha huyu mtu ila sijui nitumie njia gani.(pesa ilinoga)

Pia kinachonikera jamani jamaa huyu anatangaza maeneo ya hom kwamba me ni mtu wake tena kwa vitendo.......
Ukiongea nae kwenye simu anakwenda eneo la watu wanaonifahamu basi ananitaja jina kwa jina......

Nikitoka hom akiniona tu bas atapiga simu mbele za watu......eeeh hallo nakuona ndo unatoka mke wangu,bora tukakutane mbele kwa mbele huku wazushi wengi lol!!!!!!

Sina raha kabisaaaaa na huyu mtu zaid ya zile pesa lakin sasa baaaassssiii sitaki tena maana mpaka sisimizi nahis anasimuliwa.

Aliniambia anavumilia mpaka ndoa ila akigundua kuna mtu anakula mzigo basi atafanya kitu mbaya.

Ennie njoo ujionee huku hili balaa.......Naombeni ushaur nimwambieje jaman maana mwenzangu katangaza kwao kote,tena wamepanga harusi itakuwa Moshi na ndoa kabla ya kombe la dunia teh teh teh.....

lara 1 Heaven on earth Munkari, Kaizer, christine ibrahim, Baba V, Madame B, watu8, Nivea, Mamndenyi, Mshinga, wakyagara wakinyora, neggirl, Ablessed, GreenCity na wengineo wote jamani...........
 
Last edited by a moderator:
Eli79 huwa napenda kuwa mkweli sana katika maisha.....jamaa nilivyozid kuwa nae naona hatuendani kabisaaa yani,kimawazo na hata kimtizamo kabisaa.
Nilitumia pesa yake sawa lakin nadhani unafahamu swala la ndoa nahis atanipa shida mwenzenu ndio maana nataka niachane nae.
Sasa me naona kabisa mtu simuelewi elewi hata kauli kama mwanaume hana sasa nifanyeje?????Liwalo na liwe bhana
miss strong, miaka mitatu ni mingi mno. Inawezekana ukakaa na mtu then ukaona kweli hamuendani, unapaswa uchukue hatua mapema.
Sasa miaka mitatu, inawezekana ulimpa go ahead ndo maana akakuweka wazi hata kwa jamaa zake, kumbuka age difference kati yenu, 14yrs mwenzako anataka kutulia na kuanzisha familia, wewe unacheza na hisia zake... IT'S NOT FAIR AT ALL YOUNG LADY!
Na nyie wanaume mnao date 18-20 kids, haya ndo matokeo yake!
 
Last edited by a moderator:
Lipa mpunga ulokula ndo usepe nani anataka hasara

Sent from my BlackBerry Porsche Design
 
Mdogo wangu umetutia aibu lol! Ningekuwa karibu ningekufinya hiyo mbunye! Uroho gani huo? Pesa unakula halafu hakuna returns lol! Umemuonea mchaga wa watu.
Nimechukia siyo siri, kama huna malengo na mtu usimpotezee muda na resources zake.
Yaani ukimuacha uta search ndoa wewe mpaka kwa kalumanzila. Fikiria mara 2!

Haya mambo nahisi huwa yanaugumu sana....jamani huyu mtu yaan hana kauli kama mwanaume alafu mtu wa mipango mingi tena yakubuma yaani ukikaa nae unaudhika dakika mbili,khaaa bwana eee me ndo hivyo!!!!!
Kwa kalumanzila siendi Kibibi Jongo
 
Last edited by a moderator:
miss strong, miaka mitatu ni mingi mno. Inawezekana ukakaa na mtu then ukaona kweli hamuendani, unapaswa uchukue hatua mapema.
Sasa miaka mitatu, inawezekana ulimpa go ahead ndo maana akakuweka wazi hata kwa jamaa zake, kumbuka age difference kati yenu, 14yrs mwenzako anataka kutulia na kuanzisha familia, wewe unacheza na hisia zake... IT'S NOT FAIR AT ALL YOUNG LADY!
Na nyie wanaume mnao date 18-20 kids, haya ndo matokeo yake!

Nae ndo anasema hivyo hivyo yani kuwa anataka watoto n.k......sasa mimi namuona kama wa ajabu vile jamani!!!!!
Akitaka kunigusa mkono bas napiga kelele kama sijui nyokaaa.....yaani mwenzenu namuona mzee yaan namuona wa ajabu.
Mtanisamehe jaman....safar ya ndoa ngumu
 
Last edited by a moderator:
Mdogo wangu umetutia aibu lol! Ningekuwa karibu ningekufinya hiyo mbunye! Uroho gani huo? Pesa unakula halafu hakuna returns lol! Umemuonea mchaga wa watu.
Nimechukia siyo siri, kama huna malengo na mtu usimpotezee muda na resources zake.
Yaani ukimuacha uta search ndoa wewe mpaka kwa kalumanzila. Fikiria mara 2!

^^
Leo utakubali maneno yangu kuchanganya pesa katika upendo ni udhalimu mkubwa hata mbele za Mungu
Nyie ndo wanawake!!
^^
 
Hivi wewe si ndo ulikuwa na skendo na lecture...?!!!!!!

saga lake la lecturer nilimpinga mwanzo mwisho nikijua tu kwamba yeye ndo mpuuzi...na hakika ni m p u m b a v u huyu binti..
 
^^
Pasingekuwa na ban ungejua side B yangu
^^

Side B sihitaji kuijua.....safar ya ndoa ni ngumu!!!!
Kama umeoa basi tulia na mkeo....me huyo mwanaume jinsi alivyo yaani hata ungekuwa wewe mwanamke ungesita kidogo,sihitaji kulia kwa kujitakia katika hilo huku nikijilaumu!!!""
 
Yap nitakachokifanya ni kuomba Mungu anifungulie hili fumbo...Linanipa shida,kama ndo Mume huyu aliyenipa bas na ijulikane lakin mwenzenu sina hisia nae na hata hana mawazo kama mwanaume!!!!

ila ana hela kama mwanaume?
 
Ndo nataka kupiga chini alafu sasa hatuendani kabisaaaa ingawa anatoa mpunga kishenzi!!!!

  • Hakuna kosa kubwa katika maisha kama kukosea mtu wa kukuoa au kuolewa.
  • Fuata hisia zako, ambatana na yule umpendaye, hata kama hana mpunga kwani utaishi maisha ya furaha.
  • Wengi walio katika ndoa kwa kufuata mpunga wa bwana, hawana furaha na maisha ya ndoa zao licha ya kuwa na kila kitu nyumbani.
  • Mjulishe kiutaratibu ili atambue kwamba huna future naye ili aanze kumtafuta atakaye mfaa.
 
Upumbavu kutokua na hisia na mtu wewe data?Ndoa ngumu vipo vitu vingi vyakunigharimu katika ndoa zaidi ya hizo pesa kwa maana kuna watu wanatamani wawe na amani na ndoa zao japokuwa pesa wanazo.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom