Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Huna la kufanya jifunze kumpenda kwa sababu yeye tayari amesha kupa nafasi kubwa kwenye maisha yake. Ukimletea ujinga usishangae kutandikwa risasi wewe au atakayekuchukua.
 
Seems you are ready to live him but you are not ready to be far from his wallet.Jst decide on wat is important in ur life MONEY OR RESPONSIBLE MAN
 
Hatukuanza mahusiano kama wapenzi bro....na ndani ya hiyo miaka 3 sio kwamba tulikuwa tukionana yaweza pita hata miez 6 o 7 hatujaonana ingawa alikuwa ananitumia pesa tena atakwambia itakusaidia shule.

Mwaka jana ndo anakuja na hoja yakutaka kunioa na kuwapa ndugu zake no wananipigia kama shemeji yao na wengine wifi sasa lakin me sikuwa naridhika.

Elimu yake ni darasa la 7,mie ndo namaliza degree yangu nw!!!
Nimefikiria vitu vingi bhana Eli79 acha apite tu yeye ana kama 38!!!

Then be bold and tell him the truth...
Japo nadhani kuna jambo hapo, elimu itakuwa inamata hapo...hujawa wazi sana ila nna wasiwasi, ELIMU....
 
Last edited by a moderator:
halafu hizi tabia za watu kutaniana humu JF sijui zitakwisha lini, inakera
 
nazan huna haja ya kumchukia kwa sasa-kwa kuwa ushakula pesa zake-muda wa kuzilipa umefka,kama ulikuwa humpend bas hata pesa zake usingezigusa
 
Huna la kufanya jifunze kumpenda kwa sababu yeye tayari amesha kupa nafasi kubwa kwenye maisha yake. Ukimletea ujinga usishangae kutandikwa risasi wewe au atakayekuchukua.

Daaah sidhani kama anafaa kuwa mume wangu mimi.....kuna mtu kaandaliwa juu yake!!!Najitahid kumpenda nashindwa wa ndugu!!!!
 
Then be bold and tell him the truth...
Japo nadhani kuna jambo hapo, elimu itakuwa inamata hapo...hujawa wazi sana ila nna wasiwasi, ELIMU....

Bhana ya Mungu mengi.....alafu ukikaa nae anaongea mipango yakizushi yaani mipango mingiiiii me simtaki bwana.

Yaani ukimwangalia jinsi alivyo na vijisent anazomiliki tofaut yan bwana me sitaki,najitahid mwenzenu nashindwa.Siku moja aliniambia i lov u kwa kiingereza bas sijui akaitamkaje yani nilipata maudhi......sijui hata nielezeje!!!!
 
nazan huna haja ya kumchukia kwa sasa-kwa kuwa ushakula pesa zake-muda wa kuzilipa umefka,kama ulikuwa humpend bas hata pesa zake usingezigusa

Kuzilipa kwangu ni kumuombea kwa Mungu azid kupata!!!!
 
Kuwa makini tu unachomfanyia atakufanya kitu mbaya baadae,kuna watu wengine akili zao haziko sawa,tafuta njia ya busara umwache la sivyo umejiweka pabaya
 
Pata picha ingekuwa niwewe unafanyiwa hivyo...remember what goes around always comes around...never take other people's feelings for granted.tell him the truth bora ajue kuliko unavyozidi kumdanganya.ull regreat ths.
 
Nachukia aina hii ya wanawake wanaopenda kuwa-entertain wanaume.,mind you tumepishana kuhandle breakups tena ya aina hii...ni dharau ya hali ya juu.Pray hard achukulie kama part of life ama sivyo atakusumbua for the rest of your life
 
Mwambie jamaa ukweli humpendi asepe zake,heri ya nusu shari, jamaa ataumia sana ila baadae atapona na kupata demu mwingine bomba zaidi kuliko wewe demu atakaempenda jamaa kwa dhati.Huo si ujanja dada yangu , jiulize angekuwa kaka yako wa damu anatumia hela zako wewe kwa kwa demu wake ambae anamlia pesa tu! ila ukijaribu kuonja asali mbona utachonga mzinga!

Umemalizia vizur hapo chini.....ndo inavyokuwaga hivyo!!!!
Ila usijal nitafuata pia watu wazima tutaliwekaje vizur swala hili!!!!
 
Bhana ya Mungu mengi.....alafu ukikaa nae anaongea mipango yakizushi yaani mipango mingiiiii me simtaki bwana.

Yaani ukimwangalia jinsi alivyo na vijisent anazomiliki tofaut yan bwana me sitaki,najitahid mwenzenu nashindwa.Siku moja aliniambia i lov u kwa kiingereza bas sijui akaitamkaje yani nilipata maudhi......sijui hata nielezeje!!!!
miss strong bahati nzuri nilikusoma mapeema...
Kama tatizo ni elimu yake ndogo, huridhiki nayo basi acha kutumia wallet yake. Mwambie ukweli uanze mchakato wa kumpata mwenye hiyo elimu unayoitaka.
Ila dunia hadaa mdogo wangu!
 
Last edited by a moderator:
Sikutishii, siku unampiga chini, apige mahesabu ya ulichomchukulia, hama mji usiku tena nenda kinyumenyume akikutana nawe kwa bahati mbaya umwambie ulikuwa safari unarudi home.
Chezea mchuzi wa mchaga wewe, atakupiga kisu na kikivunjika umlipe kisu chake.
 
Jibenue dadangu..mchane peupe ili kulitua donge moyon.. Vlevle kutozd kumpotezea mda!
 
Bhana ya Mungu mengi.....alafu ukikaa nae anaongea mipango yakizushi yaani mipango mingiiiii me simtaki bwana.

Yaani ukimwangalia jinsi alivyo na vijisent anazomiliki tofaut yan bwana me sitaki,najitahid mwenzenu nashindwa.Siku moja aliniambia i lov u kwa kiingereza bas sijui akaitamkaje yani nilipata maudhi......sijui hata nielezeje!!!!

ooh seems there is something hidden behind your sentences
 
Hii mambo isinitokee kwangu maana nitaua mtu nakuishia gerezani....Aisee huwezi kula pesa yangu kisen.ge kise.nge halafu uniletee za kuleta, ohhh sijui sina feeling na blah blah kama izo......

Huyo jamaa lazima atakutafuta tuu akufanyizie....Utajuta.....Bora ungempa mautamu atleast aonje...Kumbe hata hujampa huku unamlia hela zakee?
 
Back
Top Bottom