Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Hata kwetu wapo...!!Shemejii iiiii

Sio siri bi dada umevuka mipaka...Umeshamtumia mkaka wa watu vyakutosha,sasa unamuona si wa maana...
Kama humpendi inamaana hukulijua hilo tangia mwanzo?na kwanini hukufanya kitu muda wote huo umesubiri miaka 3 ikisha ndio unaamua humpendi na unataka kumuacha? Inamaana ulikuwa upo nae kimaslahi tu?
Yaani umemuacha mtu kaenda mpaka kwenu amejitambulisha WHAT :shock:?Isitoshe umepata mtu anayekujali sana wewe hata mbunye humpi na kangangana nawe..Utakuja kumtafuta huyo wa kumpenda mpaka ulie kilio cha mbuzi...JIFUNZE KUMPENDA UTAMPENDA TU...Wazazi wangu walipooana hawakujuana lkn wakajifunza kupendana nadhani na ww unapaswa ufanye hivo MPENDE AKUPENDAYE DADA,MFUNGULIE MOYO WAKO..Umemtia dosari ndio maana unaona hakufai.....
 
Side B sihitaji kuijua.....safar ya ndoa ni ngumu!!!!
Kama umeoa basi tulia na mkeo....me huyo mwanaume jinsi alivyo yaani hata ungekuwa wewe mwanamke ungesita kidogo,sihitaji kulia kwa kujitakia katika hilo huku nikijilaumu!!!""

kwanini sasa unaendelea kula hela yake we mssss.......e..,..
 
Nae ndo anasema hivyo hivyo yani kuwa anataka watoto n.k......sasa mimi namuona kama wa ajabu vile jamani!!!!!
Akitaka kunigusa mkono bas napiga kelele kama sijui nyokaaa.....yaani mwenzenu namuona mzee yaan namuona wa ajabu.
Mtanisamehe jaman....safar ya ndoa ngumu

Samahani sista,
.. how old are you?
.. malengo yako katika uhusiano mwanzoni yalikuwa nini?
.. elimu yako vs elimu yake, kuna tofauti yoyote?
.. wakati mnaanza hukujua kama yeye ni "mzee "?
 
  • Hakuna kosa kubwa katika maisha kama kukosea mtu wa kukuoa au kuolewa.
  • Fuata hisia zako, ambatana na yule umpendaye, hata kama hana mpunga kwani utaishi maisha ya furaha.
  • Wengi walio katika ndoa kwa kufuata mpunga wa bwana, hawana furaha na maisha ya ndoa zao licha ya kuwa na kila kitu nyumbani.
  • Mjulishe kiutaratibu ili atambue kwamba huna future naye ili aanze kumtafuta atakaye mfaa.

Nashukuru kwa ushaur huo.....bora tu nisiolewe lakin jaman najikuta tu nazidi kutompenda.
Sioni mabadiliko yoyote haswa yakifikra yaani khaaa acha tu nisiolewe nae!!!
 
Side B sihitaji kuijua.....safar ya ndoa ni ngumu!!!!
Kama umeoa basi tulia na mkeo....me huyo mwanaume jinsi alivyo yaani hata ungekuwa wewe mwanamke ungesita kidogo,sihitaji kulia kwa kujitakia katika hilo huku nikijilaumu!!!""

^^
Dhambi inakutafuna..usitafute kutetewa
^^
 
Ukimaliza chuo nishtue...

Kwa upande mwingine: siamini mpaka keshokutwa kuwa huyo jamaa ni mchagga. Labda wale waliozaliwa Dar aisee...Mangi kabisa??! Akubali investment bila profit...napata shaka.
 
Ukimaliza chuo nishtue...

Kwa upande mwingine: siamini mpaka keshokutwa kuwa huyo jamaa ni mchagga. Labda wale waliozaliwa Dar aisee...Mangi kabisa??! Akubali investment bila profit...napata shaka.

na kama kweli ni MANGI... Ajiandae kuuu... ! naogopa kumalizia
 
saga lake la lecturer nilimpinga mwanzo mwisho nikijua tu kwamba yeye ndo mpuuzi...na hakika ni m p u m b a v u huyu binti..
....Hta mimi sasa nimeanza ku-connect dot...wanaume ambao tupo serious miaka hii tuna kazi sana....hawa akina dada wengi siku hizi akili za maisha wamenyimwa kabisa hakyamungu...dah...
 
Sio siri bi dada umevuka mipaka...Umeshamtumia mkaka wa watu vyakutosha,sasa unamuona si wa maana...
Kama humpendi inamaana hukulijua hilo tangia mwanzo?na kwanini hukufanya kitu muda wote huo umesubiri miaka 3 ikisha ndio unaamua humpendi na unataka kumuacha? Inamaana ulikuwa upo nae kimaslahi tu?
Yaani umemuacha mtu kaenda mpaka kwenu amejitambulisha WHAT :shock:?Isitoshe umepata mtu anayekujali sana wewe hata mbunye humpi na kangangana nawe..Utakuja kumtafuta huyo wa kumpenda mpaka ulie kilio cha mbuzi...JIFUNZE KUMPENDA UTAMPENDA TU...Wazazi wangu walipooana hawakujuana lkn wakajifunza kupendana nadhani na ww unapaswa ufanye hivo MPENDE AKUPENDAYE DADA,MFUNGULIE MOYO WAKO..Umemtia dosari ndio maana unaona hakufai.....
....Ushauri murua sana huu...
 
Samahani sista,
.. how old are you?
.. malengo yako katika uhusiano mwanzoni yalikuwa nini?
.. elimu yako vs elimu yake, kuna tofauti yoyote?
.. wakati mnaanza hukujua kama yeye ni "mzee "?

Hatukuanza mahusiano kama wapenzi bro....na ndani ya hiyo miaka 3 sio kwamba tulikuwa tukionana yaweza pita hata miez 6 o 7 hatujaonana ingawa alikuwa ananitumia pesa tena atakwambia itakusaidia shule.

Mwaka jana ndo anakuja na hoja yakutaka kunioa na kuwapa ndugu zake no wananipigia kama shemeji yao na wengine wifi sasa lakin me sikuwa naridhika.

Elimu yake ni darasa la 7,mie ndo namaliza degree yangu nw!!!
Nimefikiria vitu vingi bhana Eli79 acha apite tu yeye ana kama 38!!!
 
Last edited by a moderator:
Sijamlazimisha kutuma......Wiki hii nataka nimwambie tena swala hilo.Punguza jazba!!!!

si kwamba nina jazba....nakuonea wewe huruma... HAKUNA ELA YA MANGI YAPOTEA BURE....
NA HAUTOMUACHA KIRAHISI... YOU MUST PAY THE PRICE..
 
si kwamba nina jazba....nakuonea wewe huruma... HAKUNA ELA YA MANGI YAPOTEA BURE....
NA HAUTOMUACHA KIRAHISI... YOU MUST PAY THE PRICE..
Hata mimi pia naona itamtokea puani...Kachemsha BIG TIME!!!
 
....Hta mimi sasa nimeanza ku-connect dot...wanaume ambao tupo serious miaka hii tuna kazi sana....hawa akina dada wengi siku hizi akili za maisha wamenyimwa kabisa hakyamungu...dah...

Dr. Mo
Matokeo ya kudate vitoto vidogo ndio haya...
Wanaume tokeni na wadada wanaojitambua, sio watoto hata mbunye hawajui kuosha, pichu hawawezi kufua.
 
Kwa vile jamaa kesha tumia pesa mingi, mi nazan ungemtuliza kwa kumpa dudu ata mara moja ili hata ukitangaza kumwacha hata akikumbuka gharama inakua haina nguvu sana,,, coz atajua kidogo kakufaidi,,,,
 
si kwamba nina jazba....nakuonea wewe huruma... HAKUNA ELA YA MANGI YAPOTEA BURE....
NA HAUTOMUACHA KIRAHISI... YOU MUST PAY THE PRICE..

Aiseerrr......sasa nifanye nini hapo????ila kuna siku niliwahigi kumwambia tu kwa sms kuwa mimi na wewe bas akasema acha masikhara wewe!!!
 
Kwa vile jamaa kesha tumia pesa mingi, mi nazan ungemtuliza kwa kumpa dudu ata mara moja ili hata ukitangaza kumwacha hata akikumbuka gharama inakua haina nguvu sana,,, coz atajua kidogo kakufaidi,,,,

Hapana kwa kweli.....sina hisia nae kabisa!!!!
 
only that shes jockin na kaanua kuchangamsha jukwaa...
Yeah rite...unachoongea ndicho kinacho kudescribe personality,utu na tabia zako UNALITAMBUA HILO...isitoshe nanukuu kuna post aliandika kuna mtu alimchora kuhusiana na suala fulani la wivu akajifanya ana wivu kumbe hata hashtuki...Nikamuuliza unampenda kweli huyo mtu?nadhani mwenyewe anakumbuka...
 
Dr. Mo
Matokeo ya kudate vitoto vidogo ndio haya...
Wanaume tokeni na wadada wanaojitambua, sio watoto hata mbunye hawajui kuosha, pichu hawawezi kufua.
....Mku Eli79 ni kweli wakati mwingine inaweza kuwa sababu....lakini wengine tunaokutana nao unakuta mtu yupo chuo au anafanya kazi....lakin mawazo yake ni ya ajabu na kitoto kabisa....na kuact...wanajua mapenzi...kama huyo...ila wakati mwingine nawaambia hawajui mapenzi ila wanajua na kupractise ngono...
 
Back
Top Bottom